Jumatano, 27 Mei 2020

VICOBA TEMPLATE.

JIPATIE MFUMO WETU WA VICOBA TEMPLATE, MFUMO WA KUCHAKATA MAHESABU YA KIKUNDI NA KUTUNZA KUMBUKUMBU ZA WANACHAMA. 

 FAIDA YA MFUMO WETU 

 *TEMPLATE yetu inafanya YAFUATAYO.
 *1* . Inakuwezesha kuingiza taarifa mbalimbali za miamala ya kifedha 
 *2* .inarecord mikopo, tarehe za mikopo 
 *3* .Inachakata riba atakayotowa MKOPAJI kulingana na kiasi anachokopa 
 *4* .ina mpiga penati MKOPAJI aliyepitiliza siku/muda wa marejesho 
 *5* .inachakata gawio la mwanakikundi hadi mwisho wa kuvunja kikundi. 
 *6* .inarekodi taarifa za mikopo, kiasi kilichorejeshwa, na kiasi kilichosalia. 
 *7* .inachakata kiasi kinachosalia mara baada wa wanachama kukopa 
 *8* .ina onesha Idadi ya WANACHAMA katika kikundi
 *9* .inachakata MWANAKIKUNDI bora
 *10* .ina onesha Idadi ya HISA ZILIZONUNULIWA PAMOJA NA THAMANI zake. 
 *11* .inakuwezesha kurekodi matumizi ya dharuara kulingana na mtakavuokuwa mmejipangia (Mfn. MSIBA, sherehe, majanga. nk) 
 *12* .inakuwesesha kumsajili MWANACHAMA mpya na KUMPA code namba yake. 
 *13* .inaonesha salio lilofikiwa tangu kuanza kwa mwaka wa kikundi 
 *14* .ina uwezo wa KUSAJILI WANAKIKUNDI zaidi ya 30.
 *15* .inaonesha kiasi kwa kila mwanachama alichochanga 


Karibuni sana 
Bidhaa yetu hii tunaiuza kwa wenye vikundi vya kuweka na kukopa pia wenye vikundi vya kuweka tu pia nao wataitumia. 

 *Jipatia template hii kwa sh 30,000 tu.Bado ni Ofa kwa sasa.*


 *SEHEMU KUU AMBAZO DATASHEET YA TEMPLATE YETU ILIYO NAYO* 

 **1.* ```S/No``` . 
 **2* . ```JINA LA MWANACHAMA``` 
 **3* . ```JINSI``` 
 **4* . ```MWEZI WA MANUNUZI YA HISA /Maingizo ya miamala mbalimbali``` 
 **5* . ```NUNUA HISA``` 
 *6.* ```THAMANI YA HISA(Mfn Hisa 1=1,000/=)``` 
 **7.* ```KIINGILIO(Ni kwa mwanachama mpya)``` 
 **8* . ```ADA YA MWEZI(Ni kwa wanachama wote)``` 
*#9. ```MKOPO(Kutoka ktk mfuko wa maendeleo/Hisa)``` 
 *10.* ```RIBA YA MKOPO(mfn.10%) Kutoka mfuko wa maendeleo``` 
 *#12. ```MKOPO (DHATULA)Kutoka mfuko wa jamii``` 
 *13* . ```RIBA(mfn.10%) Kutoka mfuko wa jamii``` 
 **14* . ```TAREHE YA KUKOPA MKOPO``` 
 **15* . ```MUDA WA KUKOPA MKOPO( Jaza siku. Mgn mwz 1-jaza siku 30.miez 2-jaza siku 60.nk)``` 

 **16* . ```TAREHE YA KUREJESHA MKOPO``` 
 **17* . ```MAREJESHO + RIBA(10%) MKOPO MAENDELEO``` 
 **18.* ```MAREJESHO + RIBA (10%)  MKOPO JAMII``` 
 *18.* ```KIASI KILICHOREJESHWA (Mkopo maendeleo)``` 
 *19* . ```KIASI KILICHOREJESHWA (Mkopo Jamii)``` 
 **20* . ```MUDA ILIOZIDI (Ktk mkopo wa maendeleo)``` 
 **21* . ```MUDA ILIOZIDI (Ktk mkopo wa Jamii)``` 
 *22.* ```PENATI(Zidi muda wa marejesho mkopo wa maendeleo)``` 
 *23* . ```PENATI(Zidi muda wa marejesho mkopo wa maendeleo)``` 
 **24* . ```TAREHE LIPA MKOPO``` 
 *25* . ```KIASI KILICHOLIPWA + PENATI (Mkopo wa maendeleo)``` 
 *26.* ```KIASI KILICHOLIPWA + PENATI (Mkopo wa jamii)``` 
 **27* . _Column kuweka [โˆš]  Kama amelipa mkopo wake (Mkopo wa maendeleo) Na kuweka[X] kama hajamaliza kulipa mkopo wake (SEHEMU HII NI MUHIMU SANA KUZINGATIWA)_ 
 **28* . _Column kuweka [โˆš]  Kama_ _amelipa mkopo wake (Mkopo wa jamii)_ _Na _kuweka[X] kama_
_hajamaliza kulipa_ _mkopo wake (SEHEMU HII NI MUHIMU SANA KUZINGATIWA)_ 

          *KEY*
 * - *_Namba (column)  zenye nyota zinamaanisha ni mahala ambapo unatajaza mwenyewe._* 

*#- _Sehemu.nilizowekea alama hizo ni kuwa makini, weka kiasi cha mkopo kulingana na mkopo umetolewa kutoka mfuko gani(mfuko wa maendeleo AU mfuko wa jamii)_* 

[โˆš] Au [X] 
- _*Sehemu yenye kuweka alama hizi ni muhimu sana kwani inafanya YAFUATAYO*_ 
   *a)* ```ukiweka alama ya``` *โˆš*  ```humaanisha mwanachama AMEMALIZA kulipa mkopo wake pamoja na Riba -Hivyo KIWANGO CHOTE alichokilipa kinajumlishwa ktk salio LILILOPO la mfuko wa kikundi.``` 
 *b)* ```ukiweka alama ya``` *X*  ```humaanisha mwanachama HAJAMALIZA kulipa mkopo wake pamoja na Riba -Hivyo KIWANGO CHOTE Cha fedha ambacho hajakilipa hakitojumlishwa ktk salio LILILOPO la mfuko wa kikundi.``` 


 *Ahsante sana.*
[5/27, 13:44] Jmasala: *๐˜š๐˜Œ๐˜๐˜Œ๐˜”๐˜œ ๐˜’๐˜œ๐˜œ ๐˜ก๐˜๐˜“๐˜๐˜ก๐˜–๐˜—๐˜– ๐˜•๐˜ˆ ๐˜ก๐˜๐˜•๐˜ˆ๐˜ก๐˜–๐˜Š๐˜๐˜–๐˜›๐˜ˆ ๐˜›๐˜ˆ๐˜ˆ๐˜™๐˜๐˜๐˜ˆ ๐˜’๐˜œ๐˜›๐˜–๐˜’๐˜ˆ ๐˜š๐˜๐˜Œ๐˜Œ๐˜› ๐˜’๐˜œ๐˜œ(๐˜”๐˜ˆ๐˜๐˜• ๐˜‹๐˜ˆ๐˜›๐˜ˆ๐˜š๐˜๐˜Œ๐˜Œ๐˜›)* 

 _*1.๐˜’๐˜œ๐˜”๐˜‰๐˜œ๐˜’๐˜œ๐˜”๐˜‰๐˜œ ๐˜ก๐˜ˆ ๐˜ž๐˜ˆ๐˜•๐˜ˆ๐˜Š๐˜๐˜ˆ๐˜”๐˜ˆ*_ 
๐Ÿ‘†๐Ÿพ ๐˜š๐˜ฆ๐˜ฉ๐˜ฆ๐˜ฎ๐˜ถ ๐˜ฉ๐˜ช๐˜ช ๐˜ฉ๐˜ถ๐˜ค๐˜ฉ๐˜ฐ๐˜ต๐˜ข ๐˜ต๐˜ข๐˜ข๐˜ณ๐˜ช๐˜ง๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ต๐˜ฐ๐˜ฌ๐˜ข ๐˜‹๐˜ข๐˜ต๐˜ข๐˜ด๐˜ฉ๐˜ฆ๐˜ฆ๐˜ต ๐˜’๐˜œ๐˜œ ๐˜ฏ๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ค๐˜ฉ๐˜ข๐˜ฌ๐˜ข๐˜ต๐˜ข ๐˜ฎ๐˜ข๐˜ฉ๐˜ฆ๐˜ด๐˜ข๐˜ฃ๐˜ถ/๐˜›๐˜ข๐˜ข๐˜ณ๐˜ช๐˜ง๐˜ข ๐˜ป๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ช๐˜ญ๐˜ข  ๐˜”๐˜ธ๐˜ข๐˜ฏ๐˜ข๐˜ค๐˜ฉ๐˜ข๐˜ฎ๐˜ข ๐˜ฏ๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ฐ๐˜ฏ๐˜ฆ๐˜ด๐˜ฉ๐˜ข 
~๐˜—๐˜Œ๐˜š๐˜ˆ ๐˜ข๐˜ญ๐˜ช๐˜ป๐˜ฐ๐˜ธ๐˜ฆ๐˜ฌ๐˜ฆ๐˜ป๐˜ข ๐˜ฎ๐˜ธ๐˜ข๐˜ฏ๐˜ข๐˜ค๐˜ฉ๐˜ข๐˜ฎ๐˜ข, 
~๐˜๐˜ˆ๐˜๐˜‹๐˜ˆ ๐˜ข๐˜ญ๐˜ช๐˜บ๐˜ฐ๐˜ช๐˜ฑ๐˜ข๐˜ต๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ต๐˜ฐ๐˜ฌ๐˜ข๐˜ฏ๐˜ข ๐˜ฏ๐˜ข ๐˜œ๐˜ธ๐˜ฆ๐˜ฌ๐˜ฆ๐˜ป๐˜ข๐˜ซ๐˜ช ๐˜ธ๐˜ข๐˜ฌ๐˜ฆ ๐˜ฏ๐˜ข
~ ๐˜Ž๐˜ˆ๐˜ž๐˜๐˜– ๐˜ข๐˜ฏ๐˜ข๐˜ญ๐˜ฐ๐˜ด๐˜ต๐˜ข๐˜ฉ๐˜ช๐˜ญ๐˜ช ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ฑ๐˜ข๐˜ต๐˜ข 

 *_2.๐˜ž๐˜ˆ๐˜•๐˜ˆ๐˜Š๐˜๐˜ˆ๐˜”๐˜ˆ_* 
๐Ÿ‘†๐Ÿพ๐˜š๐˜ฆ๐˜ฉ๐˜ฆ๐˜ฎ๐˜ถ ๐˜ฉ๐˜ช๐˜ช ๐˜ฉ๐˜ถ๐˜ค๐˜ฉ๐˜ฐ๐˜ต๐˜ข ๐˜ต๐˜ข๐˜ข๐˜ณ๐˜ช๐˜ง๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ต๐˜ฐ๐˜ฌ๐˜ข ๐˜‹๐˜ข๐˜ต๐˜ข๐˜ด๐˜ฉ๐˜ฆ๐˜ฆ๐˜ต ๐˜’๐˜œ๐˜œ ๐˜ฏ๐˜ข ๐˜’๐˜ถ๐˜ฐ๐˜ฏ๐˜ฆ๐˜ด๐˜ฉ๐˜ข  ๐˜”๐˜ข๐˜ซ๐˜ช๐˜ฏ๐˜ข ๐˜บ๐˜ข ๐˜ž๐˜ข๐˜ฏ๐˜ข๐˜ค๐˜ฉ๐˜ข๐˜ฎ๐˜ข ๐˜ž๐˜ข๐˜ญ๐˜ช๐˜ฐ๐˜ด๐˜ข๐˜ซ๐˜ช๐˜ญ๐˜ช๐˜ธ๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ข๐˜ต๐˜ช๐˜ฌ๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ช๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ฏ๐˜ฅ๐˜ช ๐˜ฑ๐˜ข๐˜ฎ๐˜ฐ๐˜ซ๐˜ข ๐˜ฏ๐˜ข ๐˜Š๐˜ฐ๐˜ฅ๐˜ฆ ๐˜•๐˜ฐ, ๐˜ป๐˜ข๐˜ฐ

 _*3.๐˜š๐˜ˆ๐˜‘๐˜๐˜“๐˜ ๐˜ž๐˜ˆ๐˜•๐˜ˆ๐˜Š๐˜๐˜ˆ๐˜”๐˜ˆ ๐˜ž๐˜ˆ๐˜—๐˜ ๐˜ˆ*_ 
๐Ÿ‘†๐Ÿพ๐˜š๐˜ฆ๐˜ฉ๐˜ฆ๐˜ฎ๐˜ถ ๐˜ฉ๐˜ช๐˜ช ๐˜๐˜ฏ๐˜ข๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ณ๐˜ถ๐˜ฉ๐˜ถ๐˜ด๐˜ถ ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ฎ๐˜ด๐˜ข๐˜ซ๐˜ช๐˜ญ๐˜ช ๐˜”๐˜ž๐˜ˆ๐˜•๐˜ˆ๐˜Š๐˜๐˜ˆ๐˜”๐˜ˆ ๐˜ฎ๐˜ฑ๐˜บ๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ข๐˜ต๐˜ช๐˜ฌ๐˜ข ๐˜”๐˜๐˜œ๐˜”๐˜– ๐˜ฏ๐˜ข ๐˜‘๐˜ช๐˜ฏ๐˜ข ๐˜ญ๐˜ข๐˜ฌ๐˜ฆ ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ช๐˜ฏ๐˜จ๐˜ช๐˜ป๐˜ธ๐˜ข ๐˜ฎ๐˜ฐ๐˜ซ๐˜ข๐˜ฌ๐˜ธ๐˜ข๐˜ฎ๐˜ฐ๐˜ซ๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ต๐˜ฌ  ๐˜‹๐˜ข๐˜ต๐˜ข๐˜ด๐˜ฉ๐˜ฆ๐˜ฆ๐˜ต ๐˜’๐˜œ๐˜œ ๐˜ต๐˜ข๐˜บ๐˜ข๐˜ณ๐˜ช ๐˜ฌ๐˜ธ๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ข๐˜ฏ๐˜ป๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ซ๐˜ข๐˜ป๐˜ข ๐˜ต๐˜ข๐˜ข๐˜ณ๐˜ช๐˜ง๐˜ข ๐˜ก๐˜๐˜•๐˜Ž๐˜๐˜•๐˜Œ.

_*4.๐˜”๐˜’๐˜–๐˜—๐˜–*_ 
๐Ÿ‘†๐Ÿพ๐˜š๐˜ฆ๐˜ฉ๐˜ฆ๐˜ฎ๐˜ถ ๐˜ฉ๐˜ช๐˜ช ๐˜ฉ๐˜ถ๐˜ค๐˜ฉ๐˜ฐ๐˜ต๐˜ข ๐˜ต๐˜ข๐˜ข๐˜ณ๐˜ช๐˜ง๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ต๐˜ฐ๐˜ฌ๐˜ข ๐˜‹๐˜ข๐˜ต๐˜ข๐˜ด๐˜ฉ๐˜ฆ๐˜ฆ๐˜ต ๐˜’๐˜œ๐˜œ ๐˜ฏ๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ฐ๐˜ฏ๐˜ฆ๐˜ด๐˜ฉ๐˜ข ๐˜ต๐˜ข๐˜ข๐˜ณ๐˜ช๐˜ง๐˜ข ๐˜ป๐˜ข ๐˜”๐˜’๐˜–๐˜—๐˜– ๐˜ฌ๐˜ธ๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ช๐˜ญ๐˜ข ๐˜ฎ๐˜ธ๐˜ข๐˜ฏ๐˜ข๐˜ค๐˜ฉ๐˜ข๐˜ฎ๐˜ข (๐˜๐˜ข๐˜ฑ๐˜ข ๐˜ถ๐˜ฏ๐˜ข๐˜ต๐˜ข๐˜ฌ๐˜ช๐˜ธ๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ป๐˜ช๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ฎ๐˜ฃ๐˜ถ๐˜ฌ๐˜ข ๐˜ฏ๐˜ข๐˜ฎ๐˜ฃ๐˜ข ๐˜ป๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ช๐˜ญ๐˜ข ๐˜ฎ๐˜ธ๐˜ข๐˜ฏ๐˜ข๐˜ค๐˜ฉ๐˜ข๐˜ฎ๐˜ข) ๐˜๐˜ช๐˜ท๐˜บ๐˜ฐ ๐˜ช๐˜ฏ๐˜ข๐˜ฐ๐˜ฏ๐˜ฆ๐˜ด๐˜ฉ๐˜ข
~ ๐˜’๐˜๐˜ˆ๐˜š๐˜ ๐˜ข๐˜ญ๐˜ช๐˜ค๐˜ฉ๐˜ฐ๐˜ฌ๐˜ฐ๐˜ฑ๐˜ข ๐˜ฎ๐˜ธ๐˜ข๐˜ฏ๐˜ข๐˜ค๐˜ฉ๐˜ข๐˜ฎ๐˜ข,
~ ๐˜’๐˜ช๐˜ข๐˜ด๐˜ช ๐˜ข๐˜ญ๐˜ช๐˜ค๐˜ฉ๐˜ฐ๐˜ต๐˜ข๐˜ฏ๐˜จ๐˜ถ๐˜ญ๐˜ช๐˜ป๐˜ข/๐˜ณ๐˜ฆ๐˜ซ๐˜ฆ๐˜ด๐˜ฉ๐˜ข ๐˜ฏ๐˜ข 
~๐˜’๐˜ช๐˜ข๐˜ด๐˜ช ๐˜ฌ๐˜ช๐˜ญ๐˜ช๐˜ค๐˜ฉ๐˜ฐ ๐˜š๐˜ˆ๐˜“๐˜๐˜ˆ/๐˜ฃ๐˜ข๐˜ฌ๐˜ช ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ณ๐˜ฆ๐˜ซ๐˜ฆ๐˜ด๐˜ฉ๐˜ข ๐˜ช๐˜ญ๐˜ช ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ฎ๐˜ข๐˜ญ๐˜ช๐˜ป๐˜ข ๐˜ฎ๐˜ฌ๐˜ฐ๐˜ฑ๐˜ฐ ๐˜ธ๐˜ข๐˜ฌ๐˜ฆ. 

 _*5.๐˜’๐˜๐˜’๐˜–๐˜’๐˜–๐˜›๐˜–๐˜ก๐˜ ๐˜Š๐˜๐˜ˆ ๐˜”๐˜œ๐˜‹๐˜ˆ ๐˜ž๐˜ˆ ๐˜”๐˜’๐˜–๐˜—๐˜–*_ 
๐Ÿ‘†๐Ÿพ๐˜š๐˜ฆ๐˜ฉ๐˜ฆ๐˜ฎ๐˜ถ ๐˜ฉ๐˜ช๐˜ช ๐˜ฉ๐˜ถ๐˜ค๐˜ฉ๐˜ฐ๐˜ต๐˜ข ๐˜ต๐˜ข๐˜ข๐˜ณ๐˜ช๐˜ง๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ต๐˜ฐ๐˜ฌ๐˜ข ๐˜‹๐˜ข๐˜ต๐˜ข๐˜ด๐˜ฉ๐˜ฆ๐˜ฆ๐˜ต ๐˜’๐˜œ๐˜œ ๐˜ฏ๐˜ข ๐˜ป๐˜ช๐˜ฏ๐˜ข๐˜ป๐˜ฐ๐˜ฉ๐˜ถ๐˜ด๐˜ถ ๐˜ฎ๐˜ช๐˜ฌ๐˜ฐ๐˜ฑ๐˜ฐ ๐˜ฏ๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ฐ๐˜ฏ๐˜ฆ๐˜ด๐˜ฉ๐˜ข
~ ๐˜”๐˜ถ๐˜ฅ๐˜ข/๐˜ต๐˜ข๐˜ณ๐˜ฆ๐˜ฉ๐˜ฆ ๐˜”๐˜ธ๐˜ข๐˜ฏ๐˜ข๐˜ค๐˜ฉ๐˜ข๐˜ฎ๐˜ข ๐˜ข๐˜ญ๐˜ช๐˜ฌ๐˜ฐ๐˜ฑ๐˜ข, 
~๐˜”๐˜œ๐˜‹๐˜ˆ ๐˜ข๐˜ญ๐˜ช๐˜ฐ๐˜ฌ๐˜ฐ๐˜ฑ๐˜ฆ๐˜ด๐˜ฉ๐˜ธ๐˜ข /๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ฑ๐˜ฆ๐˜ธ๐˜ข ๐˜ช๐˜ญ๐˜ช ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ณ๐˜ถ๐˜ฅ๐˜ช๐˜ด๐˜ฉ๐˜ข ๐˜ฎ๐˜ฌ๐˜ฐ๐˜ฑ๐˜ฐ ๐˜ธ๐˜ข๐˜ฌ๐˜ฆ ๐˜ฏ๐˜ข 
~๐˜”๐˜œ๐˜‹๐˜ˆ/๐˜ด๐˜ช๐˜ฌ๐˜ถ ๐˜ป๐˜ช๐˜ญ๐˜ช๐˜ป๐˜ฐ๐˜ฃ๐˜ข๐˜ฌ๐˜ช/๐˜ˆ๐˜ญ๐˜ช๐˜ป๐˜ฐ๐˜ฑ๐˜ช๐˜ต๐˜ช๐˜ญ๐˜ช๐˜ป๐˜ข  ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ง๐˜ช๐˜ฌ๐˜ช๐˜ข ๐˜ฎ๐˜ธ๐˜ช๐˜ด๐˜ฉ๐˜ฐ ๐˜ธ๐˜ข ๐˜ฎ๐˜ถ๐˜ฅ๐˜ข ๐˜ข๐˜ญ๐˜ช๐˜ฐ๐˜ฑ๐˜ฆ๐˜ธ๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ญ๐˜ช๐˜ฑ๐˜ข ๐˜ฎ๐˜ฌ๐˜ฐ๐˜ฑ๐˜ฐ ๐˜ธ๐˜ข๐˜ฌ๐˜ฆ.

_*6.๐˜‹๐˜๐˜ˆ๐˜™๐˜œ๐˜“๐˜ˆ*_ 
๐Ÿ‘†๐Ÿพ๐˜š๐˜ฆ๐˜ฉ๐˜ฆ๐˜ฎ๐˜ถ ๐˜ฉ๐˜ช๐˜ช ๐˜ฉ๐˜ถ๐˜ค๐˜ฉ๐˜ฐ๐˜ต๐˜ข ๐˜ต๐˜ข๐˜ข๐˜ณ๐˜ช๐˜ง๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ต๐˜ฐ๐˜ฌ๐˜ข ๐˜‹๐˜ข๐˜ต๐˜ข๐˜ด๐˜ฉ๐˜ฆ๐˜ฆ๐˜ต ๐˜’๐˜œ๐˜œ ๐˜ฏ๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ฐ๐˜ฏ๐˜ฆ๐˜ด๐˜ฉ๐˜ข ๐˜”๐˜ข๐˜ต๐˜ถ๐˜ฎ๐˜ช๐˜ป๐˜ช ๐˜บ๐˜ข ๐˜‹๐˜ฉ๐˜ข๐˜ณ๐˜ถ๐˜ญ๐˜ข ๐˜บ๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ช๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ฏ๐˜ฅ๐˜ช ๐˜ฎ๐˜ญ๐˜ช๐˜บ๐˜ฐ๐˜บ๐˜ข๐˜ง๐˜ข๐˜ฏ๐˜บ๐˜ข ๐˜ฎ๐˜ข๐˜ณ๐˜ข ๐˜ฃ๐˜ข๐˜ข๐˜ฅ๐˜ข ๐˜บ๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ซ๐˜ข๐˜ป๐˜ธ๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ต๐˜ฌ ๐˜ด๐˜ฉ๐˜ฆ๐˜ฆ๐˜ต ๐˜’๐˜œ๐˜œ. ๐˜”๐˜ง๐˜ข๐˜ฏ๐˜ฐ. 
~๐˜”๐˜ด๐˜ช๐˜ฃ๐˜ข 
~๐˜š๐˜ฉ๐˜ฆ๐˜ณ๐˜ฆ๐˜ฉ๐˜ฆ
~๐˜—๐˜ฐ๐˜ฏ๐˜จ๐˜ฆ๐˜ป๐˜ช
~๐˜œ๐˜จ๐˜ฐ๐˜ฏ๐˜ซ๐˜ธ๐˜ข
~๐˜š๐˜ฉ๐˜ฆ๐˜ณ๐˜ฆ๐˜ฉ๐˜ฆ ๐˜บ๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ช๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ฏ๐˜ฅ๐˜ช ๐˜ฏ๐˜ฌ

 _*7.๐˜”๐˜ž๐˜ˆ๐˜•๐˜ˆ๐˜Š๐˜๐˜ˆ๐˜”๐˜ˆ ๐˜‰๐˜–๐˜™๐˜ˆ*_ 
๐Ÿ‘†๐Ÿพ๐˜š๐˜ฆ๐˜ฉ๐˜ฆ๐˜ฎ๐˜ถ ๐˜ฉ๐˜ช๐˜ช ๐˜ฉ๐˜ถ๐˜ค๐˜ฉ๐˜ฐ๐˜ต๐˜ข ๐˜ต๐˜ข๐˜ข๐˜ณ๐˜ช๐˜ง๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ต๐˜ฐ๐˜ฌ๐˜ข ๐˜‹๐˜ข๐˜ต๐˜ข๐˜ด๐˜ฉ๐˜ฆ๐˜ฆ๐˜ต ๐˜’๐˜œ๐˜œ ๐˜ฏ๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ฐ๐˜ฏ๐˜ฆ๐˜ด๐˜ฉ๐˜ข ๐˜ฎ๐˜ช๐˜ค๐˜ฉ๐˜ข๐˜ฏ๐˜จ๐˜ฐ ๐˜บ๐˜ฐ๐˜ต๐˜ฆ ๐˜ข๐˜ญ๐˜ช๐˜บ๐˜ฐ๐˜ค๐˜ฉ๐˜ข๐˜ฏ๐˜จ๐˜ข ๐˜ฎ๐˜ธ๐˜ข๐˜ฏ๐˜ข๐˜ค๐˜ฉ๐˜ข๐˜ฎ๐˜ข ๐˜ฎ๐˜ง๐˜ฏ
~๐˜๐˜ช๐˜ด๐˜ข ๐˜ข๐˜ญ๐˜ช๐˜ป๐˜ฐ๐˜ฏ๐˜ถ๐˜ฏ๐˜ถ๐˜ข
~๐˜›๐˜ฉ๐˜ข๐˜ฎ๐˜ข๐˜ฏ๐˜ช ๐˜ป๐˜ข ๐˜๐˜ช๐˜ด๐˜ข ๐˜ข๐˜ญ๐˜ช๐˜ป๐˜ฐ๐˜ฏ๐˜ถ๐˜ฏ๐˜ถ๐˜ข
~๐˜’๐˜ช๐˜ช๐˜ฏ๐˜จ๐˜ช๐˜ญ๐˜ช๐˜ฐ
~๐˜ˆ๐˜ฅ๐˜ข ๐˜ป๐˜ข ๐˜ฎ๐˜ช๐˜ฆ๐˜ป๐˜ช 
~๐˜•๐˜ข๐˜ง๐˜ข๐˜ด๐˜ช ๐˜ข๐˜ญ๐˜ช๐˜บ๐˜ฐ๐˜ฏ๐˜ข๐˜บ๐˜ฐ ๐˜ฌ๐˜ข๐˜ต๐˜ช๐˜ฌ๐˜ข ๐˜œ๐˜ธ๐˜ฆ๐˜ฌ๐˜ฆ๐˜ป๐˜ข๐˜ซ๐˜ช ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ญ๐˜ช๐˜ฏ๐˜จ๐˜ข๐˜ฏ๐˜ข ๐˜ฏ๐˜ข ๐˜ธ๐˜ฆ๐˜ฏ๐˜จ๐˜ช๐˜ฏ๐˜ฆ. 

 _*8.๐˜”๐˜๐˜Š๐˜๐˜ˆ๐˜•๐˜Ž๐˜–*_ 
๐Ÿ‘†๐Ÿพ๐˜š๐˜ฆ๐˜ฉ๐˜ฆ๐˜ฎ๐˜ถ ๐˜ฉ๐˜ช๐˜ช ๐˜ฉ๐˜ถ๐˜ค๐˜ฉ๐˜ฐ๐˜ต๐˜ข ๐˜ต๐˜ข๐˜ข๐˜ณ๐˜ช๐˜ง๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ต๐˜ฐ๐˜ฌ๐˜ข ๐˜‹๐˜ข๐˜ต๐˜ข๐˜ด๐˜ฉ๐˜ฆ๐˜ฆ๐˜ต ๐˜’๐˜œ๐˜œ ๐˜ฏ๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ฐ๐˜ฏ๐˜ฆ๐˜ด๐˜ฉ๐˜ข ๐˜”๐˜ช๐˜ค๐˜ฉ๐˜ข๐˜ฏ๐˜จ๐˜ฐ ๐˜บ๐˜ฐ๐˜ต๐˜ฆ ๐˜ข๐˜ญ๐˜ช๐˜บ๐˜ฐ๐˜ค๐˜ฉ๐˜ข๐˜ฏ๐˜จ๐˜ข ๐˜ฎ๐˜ธ๐˜ข๐˜ฏ๐˜ข๐˜ค๐˜ฉ๐˜ข๐˜ฎ๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ข๐˜ต๐˜ฌ ๐˜”๐˜ง๐˜ถ๐˜ฌ๐˜ฐ ๐˜ธ๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ช๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ฏ๐˜ฅ๐˜ช. ๐˜”๐˜ง๐˜ฏ. 
~๐˜‘๐˜ถ๐˜ฎ๐˜ญ๐˜ข ๐˜บ๐˜ข ๐˜ต๐˜ฉ๐˜ข๐˜ฎ๐˜ข๐˜ฏ๐˜ช ๐˜ป๐˜ข ๐˜๐˜ช๐˜ด๐˜ข ๐˜ข๐˜ญ๐˜ช๐˜ป๐˜ฐ๐˜ฏ๐˜ถ๐˜ฏ๐˜ถ๐˜ข 
~๐˜‘๐˜ถ๐˜ฎ๐˜ญ๐˜ข ๐˜บ๐˜ข ๐˜๐˜ฆ๐˜ฅ๐˜ฉ๐˜ข /๐˜ฌ๐˜ช๐˜ช๐˜ฏ๐˜จ๐˜ช๐˜ญ๐˜ช๐˜ฐ 
~๐˜‘๐˜ถ๐˜ฎ๐˜ญ๐˜ข ๐˜บ๐˜ข ๐˜๐˜ฆ๐˜ฅ๐˜ฉ๐˜ข ๐˜ป๐˜ข ๐˜ˆ๐˜ฅ๐˜ข ๐˜ป๐˜ข ๐˜ฎ๐˜ช๐˜ฆ๐˜ป๐˜ช ๐˜ข๐˜ญ๐˜ช๐˜ป๐˜ฐ๐˜ค๐˜ฉ๐˜ข๐˜ฏ๐˜จ๐˜ข

_*9.๐˜Ž๐˜ˆ๐˜ž๐˜๐˜–*_ 
๐Ÿ‘†๐Ÿพ๐˜š๐˜ฆ๐˜ฉ๐˜ฆ๐˜ฎ๐˜ถ ๐˜ฉ๐˜ช๐˜ช ๐˜ฉ๐˜ถ๐˜ค๐˜ฉ๐˜ฐ๐˜ต๐˜ข ๐˜ต๐˜ข๐˜ข๐˜ณ๐˜ช๐˜ง๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ต๐˜ฐ๐˜ฌ๐˜ข ๐˜‹๐˜ข๐˜ต๐˜ข๐˜ด๐˜ฉ๐˜ฆ๐˜ฆ๐˜ต ๐˜’๐˜œ๐˜œ ๐˜ฏ๐˜ข ๐˜’๐˜ถ๐˜ค๐˜ฉ๐˜ข๐˜ฌ๐˜ข๐˜ต๐˜ข ๐˜ฎ๐˜ข๐˜ฉ๐˜ฆ๐˜ด๐˜ข๐˜ฃ๐˜ถ ๐˜ฏ๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ฐ๐˜ฏ๐˜ฆ๐˜ด๐˜ฉ๐˜ข ๐˜Ž๐˜ข๐˜ธ๐˜ช๐˜ฐ ๐˜ญ๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ช๐˜ญ๐˜ข ๐˜ฎ๐˜ธ๐˜ข๐˜ฏ๐˜ข๐˜ค๐˜ฉ๐˜ข๐˜ฎ๐˜ข ๐˜ข๐˜ฏ๐˜ข๐˜ญ๐˜ฐ๐˜ด๐˜ต๐˜ข๐˜ฉ๐˜ช๐˜ญ๐˜ช ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ฑ๐˜ฆ๐˜ธ๐˜ข ๐˜ช๐˜ฌ๐˜ช๐˜ธ๐˜ข ๐˜ฏ๐˜ช ๐˜ซ๐˜ถ๐˜ฎ๐˜ญ๐˜ข ๐˜บ๐˜ข ๐˜๐˜Œ๐˜‹๐˜๐˜ˆ ๐˜ป๐˜ฐ๐˜ต๐˜ฆ ๐˜ข๐˜ญ๐˜ช๐˜ป๐˜ฐ๐˜ค๐˜ฉ๐˜ข๐˜ฏ๐˜จ๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ต๐˜ฌ ๐˜ฎ๐˜ง๐˜ถ๐˜ฌ๐˜ฐ + ๐˜๐˜ข๐˜ช๐˜ฅ๐˜ข ๐˜ช๐˜ญ๐˜ช๐˜บ๐˜ฐ๐˜ฑ๐˜ข๐˜ต๐˜ช๐˜ฌ๐˜ข๐˜ฏ๐˜ข. 

๐‘ฏ๐‘ฐ๐’๐‘ถ ๐‘ต๐‘ซ๐‘ถ ๐‘บ๐‘ฌ๐‘ฏ๐‘ฌ๐‘ด๐‘ผ ๐‘ฒ๐‘ผ๐‘ผ ๐‘ฒ๐‘จ๐‘ฉ๐‘ฐ๐‘บ๐‘จ ๐’๐‘ฐ๐‘ป๐‘จ๐‘ฒ๐‘จ๐’๐‘ถ ๐‘ฒ๐‘ผ๐‘น๐‘จ๐‘ฏ๐‘ฐ๐‘บ๐‘ฐ๐‘บ๐‘ฏ๐‘ฐ๐‘จ ๐‘ผ๐‘ช๐‘ฏ๐‘จ๐‘ฒ๐‘จ๐‘ป๐‘จ๐‘ฑ๐‘ฐ ๐‘พ๐‘จ ๐‘ป๐‘จ๐‘จ๐‘น๐‘ฐ๐‘ญ๐‘จ ๐‘ด๐‘ฉ๐‘จ๐‘ณ๐‘ฐ๐‘ด๐‘ฉ๐‘จ๐‘ณ๐‘ฐ ๐‘ฒ๐‘จ๐‘ด๐‘จ ๐‘ต๐‘ฐ๐‘ณ๐‘ฐ๐‘ฝ๐’€๐‘ถ๐‘ฒ๐‘ผ๐‘ฌ๐‘ณ๐‘ฌ๐’๐‘ฌ๐‘ต๐‘ฐ.

*๐™ท๐™ฐ๐™บ๐™ธ๐™บ๐™ฐ ๐š„๐šƒ๐™ฐ๐š‚๐™ท๐™ฐ๐™ฝ๐™ถ๐™ฐ๐š‰๐š†๐™ฐ ๐™ฝ๐™ฐ ๐š„๐š†๐™ด๐š‰๐™พ ๐™ธ๐™ป๐™ธ๐šˆ๐™พ๐™ฝ๐™ฐ๐šˆ๐™พ ๐šƒ๐™ด๐™ผ๐™ฟ๐™ป๐™ฐ๐šƒ๐™ด ๐™ท๐™ธ๐šˆ๐™พ. ๐™ฝ๐šŠ ๐š–๐šž๐š˜๐š—๐šŽ๐š”๐šŠ๐š—๐š˜ ๐š ๐šŽ๐š—๐šข๐šŽ ๐š”๐šž๐šŸ๐šž๐š๐š’๐šŠ ๐š”๐šŠ๐š‹๐š’๐šœ๐šŠ๐šŠ๐šŠ๐Ÿ˜*
*NฬฑBฬฑ* .ฬฑ  _Hฬฑuฬฑwฬฑeฬฑzฬฑiฬฑ bฬฑaฬฑdฬฑiฬฑlฬฑiฬฑsฬฑhฬฑaฬฑ cฬฑhฬฑoฬฑcฬฑhฬฑoฬฑtฬฑeฬฑ kฬฑaฬฑtฬฑkฬฑa tฬฑeฬฑmฬฑpฬฑlฬฑaฬฑtฬฑeฬฑ hฬฑiฬฑyฬฑoฬฑ,ฬฑ wฬฑeฬฑwฬฑeฬฑ nฬฑiฬฑkฬฑuฬฑjฬฑaฬฑzฬฑaฬฑ tฬฑaฬฑaฬฑrฬฑiฬฑfฬฑaฬฑ mฬฑaฬฑhฬฑaฬฑlฬฑiฬฑ_ _pฬฑaฬฑnฬฑaฬฑpฬฑoฬฑkฬฑuฬฑtฬฑaฬฑkฬฑaฬฑ_ _KฬฑUฬฑJฬฑAฬฑZฬฑAฬฑ tฬฑuฬฑ_ .ฬฑ 
*ฬฑSฬฑhฬฑuฬฑkฬฑrฬฑaฬฑnฬฑiฬฑ kฬฑwฬฑa tฬฑiฬฑmฬฑuฬฑ yฬฑeฬฑtฬฑuฬฑ iฬฑlฬฑiฬฑyฬฑoฬฑfฬฑaฬฑnฬฑiฬฑkฬฑiฬฑsฬฑhฬฑaฬฑ uฬฑpฬฑaฬฑtฬฑiฬฑkฬฑaฬฑnฬฑaฬฑjฬฑiฬฑ wฬฑaฬฑ Sฬฑoฬฑfฬฑtฬฑwฬฑaฬฑrฬฑeฬฑ hฬฑiฬฑiฬฑ* 
ฬฑ๐Ÿ‘๐Ÿป๐Ÿ‘๐Ÿป๐Ÿ‘๐Ÿป๐Ÿ‘๐Ÿป๐Ÿ‘๐Ÿป
[5/27, 13:44] Jmasala: *Ndugu wateja wetu* 
Tumeoma ni vyema kuwaletea maonesho ya video jinsi mfumo wetu โ€œVICOBA TEMPLATE โ€ Unavyofanya kazi. 

Tumeoba ni kheli ukaziangalia Kupitia YouTube channel yetu  na si kukutumia hapa MOJAKWAMOJA kwa maana zona MB kubwa sana wengi wasingelimudu kuzidownload lakini kwa kuziangalia tu YouTube UTATUMIA bando lako kidogo tofauti na kuzidownload hapa. 


Karibuni tubadilishe MIFUMO ya zamani ya kunakili mahesabu kwa KUTUMIA mtu. Acha mfumo ufanye kila kitu na kwa ufasaha kabisa bila kuchoka kama alivyo mwanadamu.

๐™๐™€๐™ˆ๐˜ฝ๐™€๐™‡๐™€๐˜ผ ๐™‡๐™„๐™‰๐™† ๐™•๐™„๐™๐™๐˜ผ๐™๐˜ผ๐™•๐™Š ๐™„๐™‡๐™„ ๐™†๐™๐™Š๐™‰๐˜ผ ๐™‡๐™„๐™‘๐™€ ๐™…๐™„๐™‰๐™Ž๐™„ ๐™ˆ๐™๐™๐™ˆ๐™Š ๐™’๐™€๐™๐™ โ€œ๐™‘๐™„๐˜พ๐™Š๐˜ฝ๐˜ผ ๐™๐™€๐™ˆ๐™‹๐™‡๐˜ผ๐™๐™€ โ€ ๐™๐™‰๐˜ผ๐™‘๐™”๐™Š ๐™๐˜ผ๐™‰๐™”๐˜ผ ๐™†๐˜ผ๐™•๐™„ 

1.  ๐˜ฟ๐™–๐™จ๐™๐™—๐™ค๐™–๐™ง๐™™ ๐™ฅ๐™–๐™ง๐™ฉ 1 ;๐˜ผ
https://j.mp/2Zopldd

2.  ๐˜ฟ๐™–๐™จ๐™๐™—๐™ค๐™–๐™ง๐™™ ๐™ฅ๐™–๐™ง๐™ฉ 1;๐˜ฝ
https://j.mp/2Tt57LM

3.  ๐™†๐™ช๐™ž๐™ฃ๐™œ๐™ž๐™ฏ๐™– ๐˜ฟ๐™–๐™ฉ๐™– ๐™ ๐™–๐™ฉ๐™ž๐™ ๐™– ๐™ข๐™›๐™ช๐™ข๐™ค ๐™ฅ๐™–๐™ง๐™ฉ 2;๐˜ผ
https://j.mp/2TvIaaS

4. ๐™†๐™ช๐™ž๐™ฃ๐™œ๐™ž๐™ฏ๐™– ๐™ฉ๐™–๐™จ๐™ง๐™ž๐™›๐™– ๐™ฏ๐™– ๐™ข๐™ž๐™ ๐™ค๐™ฅ๐™ค ๐™ ๐™–๐™ฉ๐™ž๐™ ๐™– ๐™ข๐™›๐™ช๐™ข๐™ค 
https://j.mp/2LNBoc3

5. ๐™†๐™ช๐™›๐™ช๐™ฉ๐™– ๐™™๐™š๐™ฃ๐™ž ๐™ก๐™– ๐™ข๐™ ๐™ค๐™ฅ๐™ค ๐™ ๐™–๐™ข๐™– ๐™ˆ๐™ฌ๐™–๐™ฃ๐™–๐™˜๐™๐™–๐™ข๐™– ๐™–๐™ข๐™š๐™ข๐™–๐™ก๐™ž๐™ฏ๐™– ๐™ ๐™ช๐™ก๐™ž๐™ฅ๐™– ๐™™๐™š๐™ฃ๐™ž ๐™ก๐™–๐™ ๐™š ๐™ก๐™ค๐™ฉ๐™š. 
https://j.mp/2Zp0V3m

6. ๐™†๐™ช๐™ž๐™ฃ๐™œ๐™ž๐™ฏ๐™– ๐™ˆ๐™–๐™ฉ๐™ช๐™ข๐™ž๐™ฏ๐™ž ๐™ฎ๐™– ๐™™๐™๐™–๐™ง๐™ช๐™ก๐™– ๐™ ๐™ฉ๐™  ๐™ข๐™›๐™ช๐™ข๐™ค 
https://j.mp/2WPeuYg


 *๐‘€๐ด๐ป๐ผ๐‘‡๐ด๐ฝ๐ผ ๐‘Š๐ด๐พ๐ด๐‘‡๐ผ ๐‘ˆ๐‘๐ด๐‘ƒ๐‘‚๐‘Š๐ด๐‘†๐ผ๐ฟ๐ผ๐ด๐‘๐ด ๐‘๐ดSI ๐ผ๐ฟ๐ผ ๐พ๐‘ˆ๐‘ˆ๐‘๐‘ˆ๐‘๐‘ˆ๐ด ๐‘€๐น๐‘ˆM๐‘‚ ๐‘Š๐ธ๐‘‡๐‘ˆ ๐‘๐ผ:-* 
๐‘Ž)  ๐ฝ๐‘–๐‘›๐‘Ž ๐‘™๐‘Ž ๐‘˜๐‘–๐‘˜๐‘ข๐‘›๐‘‘๐‘– ๐‘h๐‘’๐‘›๐‘ข
๐‘)  ๐‘‰๐‘–๐‘œ๐‘›๐‘”๐‘œ๐‘ง๐‘– ๐‘ค๐‘Ž๐‘ก๐‘Ž๐‘ก๐‘ข (3) ๐‘ค๐‘Ž ๐‘˜๐‘–๐‘˜๐‘ข๐‘›๐‘‘๐‘– ๐‘h๐‘’๐‘›๐‘ข (๐‘€๐‘ค๐‘’๐‘›๐‘ฆ๐‘’๐‘˜๐‘–๐‘ก๐‘–, ๐พ๐‘Ž๐‘ก๐‘–๐‘๐‘ข ๐‘›๐‘Ž ๐‘€h๐‘Ž๐‘ ๐‘–๐‘๐‘ข/๐‘€๐‘ก๐‘ข๐‘›๐‘ง๐‘Ž ๐ป๐‘Ž๐‘ง๐‘–๐‘›๐‘Ž) 
๐‘)  ๐‘๐‘Ž๐‘š๐‘๐‘Ž ๐‘ฆ๐‘Ž๐‘˜๐‘œ ๐‘ฆ๐‘Ž ๐‘ ๐‘–๐‘š๐‘ข ๐‘ค๐‘’๐‘ค๐‘’ ๐‘ข๐‘›๐‘Ž๐‘ฆ๐‘’๐‘ค๐‘Ž๐‘˜๐‘–๐‘™๐‘–๐‘ h๐‘Ž ๐‘˜๐‘–๐‘˜๐‘ข๐‘›๐‘‘๐‘– ๐‘h๐‘’๐‘›๐‘ข ๐‘˜๐‘ก๐‘˜ ๐‘˜๐‘ข๐‘›๐‘ข๐‘›๐‘ข๐‘Ž ๐‘š๐‘“๐‘ข๐‘š๐‘œ ๐‘ค๐‘’๐‘ก๐‘ข.(๐‘—๐‘–๐‘›๐‘Ž ๐‘™๐‘Ž๐‘˜๐‘œ ๐‘›๐‘Ž ๐‘›๐‘Ž๐‘š๐‘๐‘Ž ๐‘ฆ๐‘Ž๐‘˜๐‘œ ๐‘ฃ๐‘–๐‘ก๐‘Ž๐‘œ๐‘›๐‘’๐‘˜๐‘Ž๐‘›๐‘Ž ๐‘‘๐‘Ž๐‘–๐‘š๐‘Ž ๐‘˜๐‘ก๐‘˜ ๐‘‘๐‘Ž๐‘ h๐‘๐‘œ๐‘Ž๐‘Ÿ๐‘‘ ๐‘ฆ๐‘Ž ๐‘š๐‘“๐‘ข๐‘š๐‘œ ๐‘ค๐‘’๐‘›๐‘ข) 

๐‘๐ต; ๐‘๐‘—๐‘œ๐‘œ ๐‘›๐‘Ž ๐‘‡๐‘๐‘† *_30,000.00_* (๐‘˜๐‘ค๐‘Ž ๐‘ ๐‘Ž๐‘ ๐‘Ž ๐‘›๐‘– ๐‘‚๐‘“๐‘Ž) 
Lipia kupitia namba zetu 
0763119871 M-pesa 
0787922092 Airtel-money 
_๐‘ข๐‘˜๐‘–๐‘ h๐‘Ž๐‘™๐‘–๐‘๐‘–๐‘Ž ๐‘š๐‘“๐‘ข๐‘š๐‘œ ๐‘ค๐‘’๐‘ก๐‘ข ๐‘ข๐‘ก๐‘Ž๐‘ก๐‘ข๐‘š๐‘–๐‘ค๐‘Ž ๐‘˜๐‘ข๐‘˜๐‘ข๐‘“๐‘–๐‘˜๐‘–๐‘Ž ๐พ๐‘Ž๐‘ก๐‘– ๐‘ฆ๐‘Ž ๐‘›๐‘—๐‘–๐‘Ž ๐‘•h๐‘–๐‘ง๐‘– 
๐Ÿ‘‰๐Ÿผ *๐‘Šh๐‘Ž๐‘ก๐‘ ๐ด๐‘๐‘*( https://j.mp/3bn2MIa) 
 ๐Ÿ‘‰๐Ÿผ *๐ธ๐‘š๐‘Ž๐‘–๐‘™* *๐‘Ž๐‘‘๐‘‘๐‘Ÿ๐‘’๐‘ ๐‘ * 
ยฐ๐‘˜๐‘–๐‘ h๐‘Ž ๐‘ข๐‘ก๐‘Ž๐‘๐‘’๐‘ค๐‘Ž ๐‘๐‘Ž๐‘ ๐‘ ๐‘ค๐‘œ๐‘Ÿ๐‘‘ ๐‘š๐‘Ž๐‘Ž๐‘™๐‘ข๐‘š๐‘ข ๐‘˜๐‘ค๐‘Ž ๐‘Ž๐‘—๐‘–๐‘™๐‘– ๐‘ฆ๐‘Ž ๐พ๐‘ข๐‘“๐‘ข๐‘›๐‘”๐‘ข๐‘Ž ๐‘š๐‘“๐‘ข๐‘š๐‘œ ๐‘ค๐‘’๐‘›๐‘ข n๐‘Ž ๐‘˜๐‘ข๐‘Ž๐‘›๐‘ง๐‘Ž ๐‘š๐‘Žt๐‘ข๐‘š๐‘–๐‘ง๐‘–. (๐‘ƒ๐‘Ž๐‘ ๐‘ ๐‘ค๐‘œ๐‘Ÿ๐‘‘ ๐‘ข๐‘ก๐‘Ž๐‘ค๐‘’๐‘ง๐‘Ž ๐‘˜๐‘ข๐‘–๐‘๐‘Ž๐‘‘๐‘–๐‘™๐‘–๐‘ h๐‘Ž ๐‘š๐‘ข๐‘‘๐‘Ž ๐‘ค๐‘œ๐‘ค๐‘œ๐‘ก๐‘’ ๐‘ข๐‘ก๐‘Ž๐‘˜๐‘Ž๐‘œ๐‘๐‘’๐‘›๐‘‘๐‘Ž ๐‘š๐‘ค๐‘’๐‘›๐‘ฆ๐‘’๐‘ค๐‘’)


Jumatatu, 3 Septemba 2018

*NJIA 08 ZA _KUEPUKA MIGOGORO KAZINI_*
8โƒฃ๐Ÿค๐Ÿ‘ฎ๐Ÿผ๐Ÿ‘ฎ๐Ÿปโ€โ™€๐Ÿ‘ฉ๐Ÿผโ€๐Ÿณ๐Ÿ‘จ๐Ÿผโ€๐Ÿณ๐Ÿ‘จ๐Ÿผโ€โš•๐Ÿ‘ฉ๐Ÿผโ€โš•๐Ÿ‘ฉ๐Ÿฝโ€๐Ÿ”ง๐Ÿ‘จ๐Ÿผโ€๐Ÿ’ผ๐Ÿ‘จ๐Ÿพโ€๐Ÿ”ง๐Ÿ‘ฉ๐Ÿผโ€๐Ÿ”ฌ๐Ÿ‘จ๐Ÿผโ€๐Ÿ”ฌ๐Ÿ™…๐Ÿพโ€โ™‚๐Ÿ™…๐Ÿฝ๐Ÿ’Œ

โ€ข *Punguza Kuongea:* Maongezi ni jambo zuri. Lakini maongezi yakizidi huwa na tabia ya kuleta matatizo. Bahati mbaya zaidi ni kwamba punde maneno yakishakutoka,huwezi kuyarudisha.Utaomba msamaha,utaambiwa umesamehewa lakini ukweli ni kwamba ulichokisema kitabakia vichwani mwa mfanyakazi au wafanyakazi wenzako daima milele.

_Jitahidi kufikiri kwanza kabla ya kuongea. Njia pekee ya kuweza kufanya hivyo ni kuongea taratibu na kwa mpangilio. Kwanza utasikika vizuri zaidi na pili utaepuka migogoro inayoanzia kwenye maneno._

โ€ข *Epuka Umbea:* Umbea na majungu ni chanzo kikubwa cha migogoro makazini. Sasa kama wewe ni mwanaume usidhanie kwamba hili halikuhusu. Umbea na majungu ni kwa wanaume na wanawake ingawa kuna tofauti kidogo za kitakwimu linapokuja suala la nani zaidi.Kwa vyovyote vile jiepushe na umbea au majungu kuhusu mfanyakazi au wafanyakazi wenzako.Jitahidi kufanya kazi yako kwa bidii na maarifa. Isitoshe huo ndio mwanzo wa kuheshimika. _Hautoheshimika kwa kuwa msambazaji wa maneno yasiyokuhusu na matukio ya uongo._

โ€ข *Subiri,tafakari kisha tenda:* Makazini, kama zilivyo sehemu zingine ambazo binadamu hukutana,kupishana,kutofautiana kimavazi na kimawazo,huwa inatokea. Watu hukosa kuelewana. Inapotokea hivyo usikurupuke katika kuelezea malalamiko yako, mawazo yako au hata maoni yako.

_Unapojipa muda wa kutafakari unachotaka kukisema au kurekebisha, unajipa nafasi ya kuwa sahihi zaidi mara utakapoamua kutenda. Fanya utafiti wa kina kabla ya kusema._ Kwa kufanya hivyo utaheshimika zaidi na pia utaepusha migongano isiyo ya lazima. Nasema isiyo ya lazima kwa sababu naamini kwamba wakati mwingine mashauri hujitokeza kwa nia njema ya kuwekana sawa.

โ€ข *Sikiliza,usibishe:* Imeshawahi kukutokea mfanyakazi mwenzako au bosi wako akakujia juu na kukulalamikia kwa kosa au kitu ambacho hujui chanzo wala mwisho wake na zaidi unaamini kabisa hujakosea wala kutenda jambo lolote baya? Hali hiyo inapokutokea huwa unafanya nini? Wengi wetu huwa tunaanza kwa kubisha na kujaribu kwa nguvu zetu zote kuhakikisha kwamba anachokisema mfanyakazi mwenzako au bosi wako sio kweli bali uongo mtupu.

Bahati mbaya njia hii mara nyingi hutufikisha pabaya zaidi. Wakati mwingine watu hurushiana hata ngumi! Badala yake sikiliza kwa makini unachotuhumiwa nacho na kisha taratibu sema โ€œNasikitika kusikia kwamba unadhani mimi ndiye niliyeโ€ฆโ€.Kisha mueleze mwenzio au bosi wako ukweli au unachokijua kuwa ukweli. _Mara nyingi ukishampa mtu nafasi ya kusema kila kitu kilichoko moyoni mwake, hasira humpotea na akili timamu hurejea na hivyo mazungumzo yenye kujenga huwezekana._

โ€ข *Weka nukuu ya kila kitu:* Binadamu wa kawaida ana mambo chungu mbovu kichwani kwake. Sio rahisi kukumbuka kila kitu kinachotokea iwe ni kazini, mitaani na hata majumbani. Kwa bahati mbaya mambo mengi yanayotokea kazini huwa yana thamani kubwa zaidi ya kukumbukwa. Jitahidi kuweka kumbukumbu ya kila kitu unachokiona,ulichoambiwa na wakuu wako wa kazi,mfanyakazi/wafanyakazi wenzako nk. Hiyo itakusaidia siku mgogoro utakapokuwa unafumuka. Kumbukumbu sahihi zitasema ukweli na pia zitaonyesha jinsi gani ulivyo makini katika kazi yako. _Kumbukumbu sahihi zitakuepusha na mgogoro usio wa lazima baina yako na mfanyakazi mwenzako au hata utawala wa sehemu yako ya kazi._

โ€ข *Weka mipaka:* Kila binadamu ana mipaka yake.Kama hauna basi nakushauri uanze leo kujiwekea mipaka. Kwa upande wangu mojawapo ya mipaka ambayo huwa sina uvumilivu nayo sana mtu anapoivuka ni โ€œunafikiโ€. Sipendi mtu/watu wanafikiโ€. Una jambo unataka kuliongelea kuhusu mimi, basi jitahidi tu kuniambia bila kuficha na kusemeasemea pembeni. Katika maeneo ya kazi ni muhimu kujiwekea mipaka ya mahusiano ya kikazi. Tambua majukumu yako, tambua wajibu wako. Majukumu yaw engine na wajibu wao,waachie wenyewe. _Kumbusha majukumu na wajibu kama nafasi yako inakuruhusu kufanya hivyo._

โ€ข *Heshima na ubinadamu:* Sasa niliposema hapo juu kwamba weka mipaka sikumaanisha kwamba uishi katika โ€œdunia ya peke yakoโ€ mbele ya wafanyakazi wenzako. Jitahidi kuwa na mahusiano bora kabisa na wafanyakazi wenzako.Wajulie hali,wasalimie,wasaidie inapobidi, shiriki katika kila shughuli ya kazini(ndani na nje ya sehemu ya kazi). Usije ukaacha kushiriki shughuli kama misiba, harusi, ubarikio nk. _Kumbuka maisha ni kushirikiana._

โ€ข  *Usijaribu kuwabadili wenzako,badilika mwenyewe:*  Wapo binadamu ambao kila kukicha wao hujaribu kuwabadilisha wenzao? Kama wewe ni miongoni mwa watu wa namna hiyo,nasikitika kukuambia kwamba kazi kubwa ipo mbeleni mwako. Sio jambo rahisi kumbadili mtu. Ni sawa kabisa na kupoteza muda. Badala yake, jaribu wewe kubadilika. _Kama mfanyakazi mwenzako ni ile aina ya watu wanaopenda kusifiwa sifiwa, msifu kisha ishia zako. Kwani utapungukiwa na nini?_
___________________
Mwisho, kumbuka mambo kadhaa ya msingi.
 [[ *_Upendo, heshima na uvumilivu._*]]
 Mambo hayo ndio msingi wa kwanza wa mafanikio na siri ya kuepusha migogoro makazini. Mpende kila mtu(hata kama unadhani hapendeki),mheshimu kila mtu bila kusahau kujiheshimu wewe mwenyewe.Jitahidi kuwa mvumilivu.Kila mtu anastahili kuvumiliwa, ukiwemo wewe na mimi pia. Kazini ni sehemu ya kujitafutia riziki, kujenga mahusiano bora ya kibinadamu, kujiendeleza,kuwaendeleza wengine na muhimu zaidi kujifunza na siyo sehemu ya kutengeneza migogoro

๐Ÿ™๐Ÿพ

Jumatatu, 11 Septemba 2017

Biashara za kufanya

MIFANO YA BIASHARA UNAZOWEZA KUANZISHA ( kwa wafanyabiashara wadogo)

Kila mtu ana uwezo wa kuanzisha biashara ya kwake tofauti na mtu mwingine. Ifuatayo ni mifano michache ya biashara ambayo mtu anaweza kuanzisha na kujiongezea kipato.

A. WAFANYABIASHARA WA REJAREJA

1.    Vibanda vya bidhaa
2.    Wachuuzi wa matunda na mboga
3.    Wauza mitumba
4.    Maduka ya samani
5.    Vituo vya mafuta
6.    Maduka ya vyakula
7.    Duka la matunda na mboga
8.     Duka la nguo na viatu
9.    vifaa vya nyumbani na shamba  
10. Duka la vifaa vya umeme
11. Maduka ya mashine za shamba
12. Duka la vifaa vya kuandikia
13. Duka la madawa
14. Duka la kuoka mikate
15. Duka la bidhaa mchanganyiko
16. Duka la sare za shule
17. Duka la nyama


B. WAZALISHAJI NA WAKULIMA WADOGOWADOGO



1.   Mpakiaji bia katika chupa
2.   Mpakiaji soda katika chupa
3.   Watengenezaji wa samani na mbao
4.   Wayeyushaji wa chuma
5.   Mafundi cherehani
6.   Kazi za mikono( vikapu, mitingu, vyungu)
7.   Wafumaji
8.   Wasuka mikeka
9.   Watengeneza matofali

10.Wachoraji /waweka alama
11.Wchoma mkaa
12.Wafugaji kuku wa mayai
13.Wafugaji wa kuku wa nyama
14.Wafugaji wa nguruwe
15.Wasindikaji wa maziwa na nyama
16.Wakulima wa mboga
17.Wakulima wa mazao


 C. WAFANYABIASHARA WA JUMLA

1.    Bidhaa za kilimo
2.    Vifaa vya ujenzi
3.    Wauza nafaka
4.    Wauza mbao
5.    Maduka ya jumla

  D. WATOAJI WA HUDUMA



1.       Madaktari
2.       Kliniki
3.       Benki
4.       Mafundi magari
5.       Mafundi redio
6.       Mafundi umeme
7.       Huduma ya kujenga na kusafisha ofisi
8.       Huduma ya ulinzi
9.       Shule za chekechea
10.    Baa au vilabu
11.    Migahawa
12.    Mafundi baiskeli
13.    Wanoaji visu
14.    Hoteli
15.    Kituo cha uhandisi
16.    Makadarasi wa ujenzi
17.    Mafundi bomba
18.    Mawakala wa huduma za umeme
19.    Taasisi ya ushauri wa biashara
20.    Huduma za stationery

MIFANO YA BIASHARA UNAZOWEZA KUANZISHA

MIFANO YA BIASHARA UNAZOWEZA KUANZISHA ( kwa wafanyabiashara wadogo)

Kila mtu ana uwezo wa kuanzisha biashara ya kwake tofauti na mtu mwingine. Ifuatayo ni mifano michache ya biashara ambayo mtu anaweza kuanzisha na kujiongezea kipato.

A. WAFANYABIASHARA WA REJAREJA

1.    Vibanda vya bidhaa
2.    Wachuuzi wa matunda na mboga
3.    Wauza mitumba
4.    Maduka ya samani
5.    Vituo vya mafuta
6.    Maduka ya vyakula
7.    Duka la matunda na mboga
8.     Duka la nguo na viatu
9.    vifaa vya nyumbani na shamba  
10. Duka la vifaa vya umeme
11. Maduka ya mashine za shamba
12. Duka la vifaa vya kuandikia
13. Duka la madawa
14. Duka la kuoka mikate
15. Duka la bidhaa mchanganyiko
16. Duka la sare za shule
17. Duka la nyama


B. WAZALISHAJI NA WAKULIMA WADOGOWADOGO



1.   Mpakiaji bia katika chupa
2.   Mpakiaji soda katika chupa
3.   Watengenezaji wa samani na mbao
4.   Wayeyushaji wa chuma
5.   Mafundi cherehani
6.   Kazi za mikono( vikapu, mitingu, vyungu)
7.   Wafumaji
8.   Wasuka mikeka
9.   Watengeneza matofali

10.Wachoraji /waweka alama
11.Wchoma mkaa
12.Wafugaji kuku wa mayai
13.Wafugaji wa kuku wa nyama
14.Wafugaji wa nguruwe
15.Wasindikaji wa maziwa na nyama
16.Wakulima wa mboga
17.Wakulima wa mazao


 C. WAFANYABIASHARA WA JUMLA

1.    Bidhaa za kilimo
2.    Vifaa vya ujenzi
3.    Wauza nafaka
4.    Wauza mbao
5.    Maduka ya jumla

  D. WATOAJI WA HUDUMA



1.       Madaktari
2.       Kliniki
3.       Benki
4.       Mafundi magari
5.       Mafundi redio
6.       Mafundi umeme
7.       Huduma ya kujenga na kusafisha ofisi
8.       Huduma ya ulinzi
9.       Shule za chekechea
10.    Baa au vilabu
11.    Migahawa
12.    Mafundi baiskeli
13.    Wanoaji visu
14.    Hoteli
15.    Kituo cha uhandisi
16.    Makadarasi wa ujenzi
17.    Mafundi bomba
18.    Mawakala wa huduma za umeme
19.    Taasisi ya ushauri wa biashara
20.    Huduma za stationery

Jumamosi, 9 Septemba 2017

FAHAMU NAMNA RAHISI YA KUTENGENEZA APP ZA SIMU

Ulimwengu kwa sasa umekua sana kiasi kwamba karibia huduma zote unazipata kupitia simu yako ya mkononi, hii imesababisha watoa huduma wote ambao hutoa huduma mtandaoni kulazimika kutengeneza programu (App) kwaajili ya huduma zao, lakini katika kufanya hivyo bado unakutana na changamoto kwani ni lazima kuajiri watu kwaajili ya kufanya hivyo ndio mana leo jmasala.blogspot.com tunakuletea maujanja ya kukuwezesha wewe mtu Wa kawaida kuweza kutengeneza application zinazo aweza kutumika katika Kifua cha Android, iTunes Na hata windows.




 Kumbuka hauitaji ujuzi mkubwa kufanya hivi bali unaitajika kuwa na kompyuta yenye uwezo wa kuunganisha internet pamoja na logo na picha mbalimbali za kuweka kwenye programu yako. Ni vyema kuangalia kwanza matumizi kisha ndipo ujue jinsi ya kutengeneza picha na logo za kuweka kwenye App au programu yako, pia ni vizuri kuwa na simu ya android kwaajili ya kutest programu yako kabla ujaamua kuipost kwenye masoko ya Android kama Play Store au Amazoni Store.

Kwa kuanza ni vyema ukajua kuwa ili kutengeneza programu hii ni vyema ukajua unataka kutengeneza programu ya aina gani zifuatazo ni tovuti 10 zitakazo kuwezesha kutengeneza programu mbalimbali kutokana na mahitaji yako.

10. Mobile Roadie
Kupitia Mobile Roadie Utaweza kutengeneza application bila ya kuwa Na ujuzi wowote juu ya utengenezaji Wa application ambapo mda mingine Inatakiwa kuwa umesoma.
Huu ni mtandao mmoja Wapo unaokupa nafasi ya kuweza kutengeneza application.

โ€ขSifa za Mobile Rodie.

>Media
Katika swala zima la media hapa tunaongelea upande Wa Picha, video Na audio.
Kupitia mobile rodie Utaweza kupload media zako kirahisi Na unaweza kifanya setting zikawa zinajiweka zenyewe(automatically). Na swala la layout watumiaji wataweza kuona media zako zikiwa katika mpangilio mzuri Na Wa kueleweka (grid).

>Habari
Katika uwekaji Wa habari mbalimbali kupitia mobile roadie Utaweza kupost habari zako kiurahisi lakini pia unaweza kuweka habari automatically kupitia RSS feed.

>Matukio (events)
Kupitia Mobile Roadie utakuwa Na uwezo Wa kupost matukio mbalimbali yanaendelea au yanakutarajiwa kufanyika hapo baadae.

Mobile ina vipengele vingi ambavyo Utaweza kuvitumia kiurahisi bila bughudha.

09. Appmachine
 Huu pia ni mtandao mwingine unaotoa huduma ya kutengeneza Applications.

โ€ขSifa za Appmachine

>Taarifa juu ya maendeleo ya application yako.
Kwa kutengeneza Application kupitia kwa huu mtandao Utaweza kupewa taarifa juu ya maendeleo ya application yako kwa kuangalia idadi ya watu wanakutumia Na idadi ya walio pakua application yako.

>Vitendea Kazi
Mtandao huu hutoa vitendea kazi vingi sana bure vitakavyo kidhi mahitaji yako pindi utakapo kuwa unatengeneza application yako.

>Uwezo Wa kutumika kabla ya kumalizika.
Najuana Wengi tumezoea kuitumia kitu ni mpaka kimalizike, lakini kwa kuitumia Appmachine Utaweza kuitumia Application yako kabla haijamalizika yaani hiki bado unaitengeneza Na unaitumia.


08. Andromo

Mtandao huu hukupa fursa ya kuweza kutengeneza application bila ujuzi pia

โ€ขSifa za Andromo

>kukuwezesha kulink application yako mitandao ya kijamii

>kukuwezesha kuupakia mafile ya media mbalimbali

>Unakupa fursa ya kuchapa code zako mwnyw (HTML)

>unaweza ukaunganisha Na website yako.

07. Biznessapps

Kama Jina linavyo jieleza hii inawafaa sana kafanya biashara.

โ€ขSifa za biznessapps

> Kumwezesha mteja kuweka order ya vitu vingi kwa wakati mmoja.

>Huduma kwa wateja.
Hapa hutoa mafunzo mbalimbali namba ya kuweza kutengeneza application bila ujuzi wowote kwa kutumia mtandao wao.

06.Buildfire

Hii moja kati ya mashirika yanayo milikiwa Na google.

โ€ขSifa za build fire

>Maoni ya wateja
Kama ukitumia buildfire kutengeneza application bado utakuwa unauwezo Wa kupata maoni ya wateja kiurahisi

>uwekaji Wa media ni mrahisi sana

>Msaada
Pindi uatakapo kuwa unatengeneza application afu ukakwama unaweza kuomba msaada kutoka kwa kampuni.

>Lakini pia Utaweza kuunganisha mitandao ya kijamii zaidi yamoja.


05. Fliplet

Hii ni mahususi kwaajili ya kafanya biashara.

โ€ขSifa za fliplet

>Hukupa uwezo Wa kuhifadhi data zako kwenye application

>uwezo Wa kuwa katika platform tatu yaani smartphone, tablet Na kompyuta.


04. ibuildapp
Mtandao huu pia hutoa fursa ya kukuwezesha wewe mwenye nia ya kumiliki application kuweza kufikia lengo lako

โ€ขSifa za ibuildapp

>Platform
Hukupa fursa ya kutengeneza application itakayo weza kutumika katika platform mbili yaani Android and iOS

>Notification
Hukupa fursa ya kuwezesha notification katika application yako

>Advertisements
Hukupa fursa ya kuweza matangazo yako.

03. Appsgeyser

Hii inawafaa sana wale wanaopenda michezo ya chemsha bongo Na watengeneza magemu.

โ€ขSifa sake

>search
Hii itakuwezesha kuweza kusearch bitu mbalimbali

>Messenger
Pia kuna sehemu maalumu cha kukuwezesha kutuma ujumbe wa maneno

>Lakini pia hukupa mifumo Na aina mbalimbali za aina za magemu

02. Appmakr

โ€ขSifa zake
>Mtandao wako uko haraka sana

>inakupa fursa ya kuwashirikisha Na marafiki zako.

>Uwezo wa kuwatumia ujumbe wa maneno watumiaji wako


01. Appypie

Appypie in moja kati ya mtandao unaoongoza kwa kutumiwa Na watengenezaji Wengine wa application.
Mtandao huu kwa sasa ndo unaoongoza kwa kutumiwa zaidi ulimwenguni Na hii inatokan Na ubora wa bidhaa zao.

ยฐSifa za Appypie

>Ndani ya hatua tatu unakuwa Umemaliza kutengeneza application yako.

>Hutoa design ya layout nzuri Na zenyewe ubora wa halo ya juu.

>Huduma kwa wateja 24/7/365

>vitendea KAZI vingi sana Na rahisi kutumika maana vinaeleweka kiurahisi.

>Hutoa mafunzo Bure pale utakapo hitaji.

>Ukikwama watakusaifia Bure.

>Tovuti yako inaeleweka kwa kila mmoja.

>Urahisi wa kuweka Application yako kwenye masoko kama play store Na Amazon

Unaweza ukapakua baadhi ya application zilizotengenezwa kwa Appypie halo chini;

ยฐMagoiga2016

ยฐ 

Kwa Leo tunaishia hapo.

Kwa mwenye swali, ushauri au mada ya kiteknolojia ambayo angependa tuijadili usisite kutuandia kwenye sanduku la maoni hapo chini.
  
Kwa habari nyingine za teknolojia usisite kututembelea tena Magoiga2016.blogspot.com au unaweza kupakua Application yetu kwa kubofya HAPA