VICOBA TEMPLATE.
JIPATIE MFUMO WETU WA VICOBA TEMPLATE, MFUMO WA KUCHAKATA MAHESABU YA KIKUNDI NA KUTUNZA KUMBUKUMBU ZA WANACHAMA.
FAIDA YA MFUMO WETU
*TEMPLATE yetu inafanya YAFUATAYO.*
*1* . Inakuwezesha kuingiza taarifa mbalimbali za miamala ya kifedha
*2* .inarecord mikopo, tarehe za mikopo
*3* .Inachakata riba atakayotowa MKOPAJI kulingana na kiasi anachokopa
*4* .ina mpiga penati MKOPAJI aliyepitiliza siku/muda wa marejesho
*5* .inachakata gawio la mwanakikundi hadi mwisho wa kuvunja kikundi.
*6* .inarekodi taarifa za mikopo, kiasi kilichorejeshwa, na kiasi kilichosalia.
*7* .inachakata kiasi kinachosalia mara baada wa wanachama kukopa
*8* .ina onesha Idadi ya WANACHAMA katika kikundi
*9* .inachakata MWANAKIKUNDI bora
*10* .ina onesha Idadi ya HISA ZILIZONUNULIWA PAMOJA NA THAMANI zake.
*11* .inakuwezesha kurekodi matumizi ya dharuara kulingana na mtakavuokuwa mmejipangia (Mfn. MSIBA, sherehe, majanga. nk)
*12* .inakuwesesha kumsajili MWANACHAMA mpya na KUMPA code namba yake.
*13* .inaonesha salio lilofikiwa tangu kuanza kwa mwaka wa kikundi
*14* .ina uwezo wa KUSAJILI WANAKIKUNDI zaidi ya 30.
*15* .inaonesha kiasi kwa kila mwanachama alichochanga
Karibuni sana
Bidhaa yetu hii tunaiuza kwa wenye vikundi vya kuweka na kukopa pia wenye vikundi vya kuweka tu pia nao wataitumia.
*Jipatia template hii kwa sh 30,000 tu.Bado ni Ofa kwa sasa.*
*SEHEMU KUU AMBAZO DATASHEET YA TEMPLATE YETU ILIYO NAYO*
**1.* ```S/No``` .
**2* . ```JINA LA MWANACHAMA```
**3* . ```JINSI```
**4* . ```MWEZI WA MANUNUZI YA HISA /Maingizo ya miamala mbalimbali```
**5* . ```NUNUA HISA```
*6.* ```THAMANI YA HISA(Mfn Hisa 1=1,000/=)```
**7.* ```KIINGILIO(Ni kwa mwanachama mpya)```
**8* . ```ADA YA MWEZI(Ni kwa wanachama wote)```
*#9. ```MKOPO(Kutoka ktk mfuko wa maendeleo/Hisa)```
*10.* ```RIBA YA MKOPO(mfn.10%) Kutoka mfuko wa maendeleo```
*#12. ```MKOPO (DHATULA)Kutoka mfuko wa jamii```
*13* . ```RIBA(mfn.10%) Kutoka mfuko wa jamii```
**14* . ```TAREHE YA KUKOPA MKOPO```
**15* . ```MUDA WA KUKOPA MKOPO( Jaza siku. Mgn mwz 1-jaza siku 30.miez 2-jaza siku 60.nk)```
**16* . ```TAREHE YA KUREJESHA MKOPO```
**17* . ```MAREJESHO + RIBA(10%) MKOPO MAENDELEO```
**18.* ```MAREJESHO + RIBA (10%) MKOPO JAMII```
*18.* ```KIASI KILICHOREJESHWA (Mkopo maendeleo)```
*19* . ```KIASI KILICHOREJESHWA (Mkopo Jamii)```
**20* . ```MUDA ILIOZIDI (Ktk mkopo wa maendeleo)```
**21* . ```MUDA ILIOZIDI (Ktk mkopo wa Jamii)```
*22.* ```PENATI(Zidi muda wa marejesho mkopo wa maendeleo)```
*23* . ```PENATI(Zidi muda wa marejesho mkopo wa maendeleo)```
**24* . ```TAREHE LIPA MKOPO```
*25* . ```KIASI KILICHOLIPWA + PENATI (Mkopo wa maendeleo)```
*26.* ```KIASI KILICHOLIPWA + PENATI (Mkopo wa jamii)```
**27* . _Column kuweka [√] Kama amelipa mkopo wake (Mkopo wa maendeleo) Na kuweka[X] kama hajamaliza kulipa mkopo wake (SEHEMU HII NI MUHIMU SANA KUZINGATIWA)_
**28* . _Column kuweka [√] Kama_ _amelipa mkopo wake (Mkopo wa jamii)_ _Na _kuweka[X] kama_
_hajamaliza kulipa_ _mkopo wake (SEHEMU HII NI MUHIMU SANA KUZINGATIWA)_
*KEY*
* - *_Namba (column) zenye nyota zinamaanisha ni mahala ambapo unatajaza mwenyewe._*
*#- _Sehemu.nilizowekea alama hizo ni kuwa makini, weka kiasi cha mkopo kulingana na mkopo umetolewa kutoka mfuko gani(mfuko wa maendeleo AU mfuko wa jamii)_*
[√] Au [X]
- _*Sehemu yenye kuweka alama hizi ni muhimu sana kwani inafanya YAFUATAYO*_
*a)* ```ukiweka alama ya``` *√* ```humaanisha mwanachama AMEMALIZA kulipa mkopo wake pamoja na Riba -Hivyo KIWANGO CHOTE alichokilipa kinajumlishwa ktk salio LILILOPO la mfuko wa kikundi.```
*b)* ```ukiweka alama ya``` *X* ```humaanisha mwanachama HAJAMALIZA kulipa mkopo wake pamoja na Riba -Hivyo KIWANGO CHOTE Cha fedha ambacho hajakilipa hakitojumlishwa ktk salio LILILOPO la mfuko wa kikundi.```
*Ahsante sana.*
[5/27, 13:44] Jmasala: *𝘚𝘌𝘏𝘌𝘔𝘜 𝘒𝘜𝘜 𝘡𝘐𝘓𝘐𝘡𝘖𝘗𝘖 𝘕𝘈 𝘡𝘐𝘕𝘈𝘡𝘖𝘊𝘏𝘖𝘛𝘈 𝘛𝘈𝘈𝘙𝘐𝘍𝘈 𝘒𝘜𝘛𝘖𝘒𝘈 𝘚𝘏𝘌𝘌𝘛 𝘒𝘜𝘜(𝘔𝘈𝘐𝘕 𝘋𝘈𝘛𝘈𝘚𝘏𝘌𝘌𝘛)*
_*1.𝘒𝘜𝘔𝘉𝘜𝘒𝘜𝘔𝘉𝘜 𝘡𝘈 𝘞𝘈𝘕𝘈𝘊𝘏𝘈𝘔𝘈*_
👆🏾 𝘚𝘦𝘩𝘦𝘮𝘶 𝘩𝘪𝘪 𝘩𝘶𝘤𝘩𝘰𝘵𝘢 𝘵𝘢𝘢𝘳𝘪𝘧𝘢 𝘬𝘶𝘵𝘰𝘬𝘢 𝘋𝘢𝘵𝘢𝘴𝘩𝘦𝘦𝘵 𝘒𝘜𝘜 𝘯𝘢 𝘬𝘶𝘤𝘩𝘢𝘬𝘢𝘵𝘢 𝘮𝘢𝘩𝘦𝘴𝘢𝘣𝘶/𝘛𝘢𝘢𝘳𝘪𝘧𝘢 𝘻𝘢 𝘬𝘪𝘭𝘢 𝘔𝘸𝘢𝘯𝘢𝘤𝘩𝘢𝘮𝘢 𝘯𝘢 𝘬𝘶𝘰𝘯𝘦𝘴𝘩𝘢
~𝘗𝘌𝘚𝘈 𝘢𝘭𝘪𝘻𝘰𝘸𝘦𝘬𝘦𝘻𝘢 𝘮𝘸𝘢𝘯𝘢𝘤𝘩𝘢𝘮𝘢,
~𝘍𝘈𝘐𝘋𝘈 𝘢𝘭𝘪𝘺𝘰𝘪𝘱𝘢𝘵𝘢 𝘬𝘶𝘵𝘰𝘬𝘢𝘯𝘢 𝘯𝘢 𝘜𝘸𝘦𝘬𝘦𝘻𝘢𝘫𝘪 𝘸𝘢𝘬𝘦 𝘯𝘢
~ 𝘎𝘈𝘞𝘐𝘖 𝘢𝘯𝘢𝘭𝘰𝘴𝘵𝘢𝘩𝘪𝘭𝘪 𝘬𝘶𝘱𝘢𝘵𝘢
*_2.𝘞𝘈𝘕𝘈𝘊𝘏𝘈𝘔𝘈_*
👆🏾𝘚𝘦𝘩𝘦𝘮𝘶 𝘩𝘪𝘪 𝘩𝘶𝘤𝘩𝘰𝘵𝘢 𝘵𝘢𝘢𝘳𝘪𝘧𝘢 𝘬𝘶𝘵𝘰𝘬𝘢 𝘋𝘢𝘵𝘢𝘴𝘩𝘦𝘦𝘵 𝘒𝘜𝘜 𝘯𝘢 𝘒𝘶𝘰𝘯𝘦𝘴𝘩𝘢 𝘔𝘢𝘫𝘪𝘯𝘢 𝘺𝘢 𝘞𝘢𝘯𝘢𝘤𝘩𝘢𝘮𝘢 𝘞𝘢𝘭𝘪𝘰𝘴𝘢𝘫𝘪𝘭𝘪𝘸𝘢 𝘬𝘢𝘵𝘪𝘬𝘢 𝘬𝘪𝘬𝘶𝘯𝘥𝘪 𝘱𝘢𝘮𝘰𝘫𝘢 𝘯𝘢 𝘊𝘰𝘥𝘦 𝘕𝘰, 𝘻𝘢𝘰
_*3.𝘚𝘈𝘑𝘐𝘓𝘐 𝘞𝘈𝘕𝘈𝘊𝘏𝘈𝘔𝘈 𝘞𝘈𝘗𝘠𝘈*_
👆🏾𝘚𝘦𝘩𝘦𝘮𝘶 𝘩𝘪𝘪 𝘐𝘯𝘢𝘬𝘶𝘳𝘶𝘩𝘶𝘴𝘶 𝘬𝘶𝘮𝘴𝘢𝘫𝘪𝘭𝘪 𝘔𝘞𝘈𝘕𝘈𝘊𝘏𝘈𝘔𝘈 𝘮𝘱𝘺𝘢 𝘬𝘢𝘵𝘪𝘬𝘢 𝘔𝘍𝘜𝘔𝘖 𝘯𝘢 𝘑𝘪𝘯𝘢 𝘭𝘢𝘬𝘦 𝘬𝘶𝘪𝘯𝘨𝘪𝘻𝘸𝘢 𝘮𝘰𝘫𝘢𝘬𝘸𝘢𝘮𝘰𝘫𝘢 𝘬𝘵𝘬 𝘋𝘢𝘵𝘢𝘴𝘩𝘦𝘦𝘵 𝘒𝘜𝘜 𝘵𝘢𝘺𝘢𝘳𝘪 𝘬𝘸𝘢 𝘬𝘶𝘢𝘯𝘻𝘢 𝘬𝘶𝘫𝘢𝘻𝘢 𝘵𝘢𝘢𝘳𝘪𝘧𝘢 𝘡𝘐𝘕𝘎𝘐𝘕𝘌.
_*4.𝘔𝘒𝘖𝘗𝘖*_
👆🏾𝘚𝘦𝘩𝘦𝘮𝘶 𝘩𝘪𝘪 𝘩𝘶𝘤𝘩𝘰𝘵𝘢 𝘵𝘢𝘢𝘳𝘪𝘧𝘢 𝘬𝘶𝘵𝘰𝘬𝘢 𝘋𝘢𝘵𝘢𝘴𝘩𝘦𝘦𝘵 𝘒𝘜𝘜 𝘯𝘢 𝘬𝘶𝘰𝘯𝘦𝘴𝘩𝘢 𝘵𝘢𝘢𝘳𝘪𝘧𝘢 𝘻𝘢 𝘔𝘒𝘖𝘗𝘖 𝘬𝘸𝘢 𝘬𝘪𝘭𝘢 𝘮𝘸𝘢𝘯𝘢𝘤𝘩𝘢𝘮𝘢 (𝘏𝘢𝘱𝘢 𝘶𝘯𝘢𝘵𝘢𝘬𝘪𝘸𝘢 𝘬𝘶𝘻𝘪𝘬𝘶𝘮𝘣𝘶𝘬𝘢 𝘯𝘢𝘮𝘣𝘢 𝘻𝘢 𝘬𝘪𝘭𝘢 𝘮𝘸𝘢𝘯𝘢𝘤𝘩𝘢𝘮𝘢) 𝘏𝘪𝘷𝘺𝘰 𝘪𝘯𝘢𝘰𝘯𝘦𝘴𝘩𝘢
~ 𝘒𝘐𝘈𝘚𝘐 𝘢𝘭𝘪𝘤𝘩𝘰𝘬𝘰𝘱𝘢 𝘮𝘸𝘢𝘯𝘢𝘤𝘩𝘢𝘮𝘢,
~ 𝘒𝘪𝘢𝘴𝘪 𝘢𝘭𝘪𝘤𝘩𝘰𝘵𝘢𝘯𝘨𝘶𝘭𝘪𝘻𝘢/𝘳𝘦𝘫𝘦𝘴𝘩𝘢 𝘯𝘢
~𝘒𝘪𝘢𝘴𝘪 𝘬𝘪𝘭𝘪𝘤𝘩𝘰 𝘚𝘈𝘓𝘐𝘈/𝘣𝘢𝘬𝘪 𝘬𝘶𝘳𝘦𝘫𝘦𝘴𝘩𝘢 𝘪𝘭𝘪 𝘬𝘶𝘮𝘢𝘭𝘪𝘻𝘢 𝘮𝘬𝘰𝘱𝘰 𝘸𝘢𝘬𝘦.
_*5.𝘒𝘐𝘒𝘖𝘒𝘖𝘛𝘖𝘡𝘐 𝘊𝘏𝘈 𝘔𝘜𝘋𝘈 𝘞𝘈 𝘔𝘒𝘖𝘗𝘖*_
👆🏾𝘚𝘦𝘩𝘦𝘮𝘶 𝘩𝘪𝘪 𝘩𝘶𝘤𝘩𝘰𝘵𝘢 𝘵𝘢𝘢𝘳𝘪𝘧𝘢 𝘬𝘶𝘵𝘰𝘬𝘢 𝘋𝘢𝘵𝘢𝘴𝘩𝘦𝘦𝘵 𝘒𝘜𝘜 𝘯𝘢 𝘻𝘪𝘯𝘢𝘻𝘰𝘩𝘶𝘴𝘶 𝘮𝘪𝘬𝘰𝘱𝘰 𝘯𝘢 𝘬𝘶𝘰𝘯𝘦𝘴𝘩𝘢
~ 𝘔𝘶𝘥𝘢/𝘵𝘢𝘳𝘦𝘩𝘦 𝘔𝘸𝘢𝘯𝘢𝘤𝘩𝘢𝘮𝘢 𝘢𝘭𝘪𝘬𝘰𝘱𝘢,
~𝘔𝘜𝘋𝘈 𝘢𝘭𝘪𝘰𝘬𝘰𝘱𝘦𝘴𝘩𝘸𝘢 /𝘬𝘶𝘱𝘦𝘸𝘢 𝘪𝘭𝘪 𝘬𝘶𝘳𝘶𝘥𝘪𝘴𝘩𝘢 𝘮𝘬𝘰𝘱𝘰 𝘸𝘢𝘬𝘦 𝘯𝘢
~𝘔𝘜𝘋𝘈/𝘴𝘪𝘬𝘶 𝘻𝘪𝘭𝘪𝘻𝘰𝘣𝘢𝘬𝘪/𝘈𝘭𝘪𝘻𝘰𝘱𝘪𝘵𝘪𝘭𝘪𝘻𝘢 𝘬𝘶𝘧𝘪𝘬𝘪𝘢 𝘮𝘸𝘪𝘴𝘩𝘰 𝘸𝘢 𝘮𝘶𝘥𝘢 𝘢𝘭𝘪𝘰𝘱𝘦𝘸𝘢 𝘬𝘶𝘭𝘪𝘱𝘢 𝘮𝘬𝘰𝘱𝘰 𝘸𝘢𝘬𝘦.
_*6.𝘋𝘏𝘈𝘙𝘜𝘓𝘈*_
👆🏾𝘚𝘦𝘩𝘦𝘮𝘶 𝘩𝘪𝘪 𝘩𝘶𝘤𝘩𝘰𝘵𝘢 𝘵𝘢𝘢𝘳𝘪𝘧𝘢 𝘬𝘶𝘵𝘰𝘬𝘢 𝘋𝘢𝘵𝘢𝘴𝘩𝘦𝘦𝘵 𝘒𝘜𝘜 𝘯𝘢 𝘬𝘶𝘰𝘯𝘦𝘴𝘩𝘢 𝘔𝘢𝘵𝘶𝘮𝘪𝘻𝘪 𝘺𝘢 𝘋𝘩𝘢𝘳𝘶𝘭𝘢 𝘺𝘢 𝘬𝘪𝘬𝘶𝘯𝘥𝘪 𝘮𝘭𝘪𝘺𝘰𝘺𝘢𝘧𝘢𝘯𝘺𝘢 𝘮𝘢𝘳𝘢 𝘣𝘢𝘢𝘥𝘢 𝘺𝘢 𝘬𝘶𝘫𝘢𝘻𝘸𝘢 𝘬𝘵𝘬 𝘴𝘩𝘦𝘦𝘵 𝘒𝘜𝘜. 𝘔𝘧𝘢𝘯𝘰.
~𝘔𝘴𝘪𝘣𝘢
~𝘚𝘩𝘦𝘳𝘦𝘩𝘦
~𝘗𝘰𝘯𝘨𝘦𝘻𝘪
~𝘜𝘨𝘰𝘯𝘫𝘸𝘢
~𝘚𝘩𝘦𝘳𝘦𝘩𝘦 𝘺𝘢 𝘬𝘪𝘬𝘶𝘯𝘥𝘪 𝘯𝘬
_*7.𝘔𝘞𝘈𝘕𝘈𝘊𝘏𝘈𝘔𝘈 𝘉𝘖𝘙𝘈*_
👆🏾𝘚𝘦𝘩𝘦𝘮𝘶 𝘩𝘪𝘪 𝘩𝘶𝘤𝘩𝘰𝘵𝘢 𝘵𝘢𝘢𝘳𝘪𝘧𝘢 𝘬𝘶𝘵𝘰𝘬𝘢 𝘋𝘢𝘵𝘢𝘴𝘩𝘦𝘦𝘵 𝘒𝘜𝘜 𝘯𝘢 𝘬𝘶𝘰𝘯𝘦𝘴𝘩𝘢 𝘮𝘪𝘤𝘩𝘢𝘯𝘨𝘰 𝘺𝘰𝘵𝘦 𝘢𝘭𝘪𝘺𝘰𝘤𝘩𝘢𝘯𝘨𝘢 𝘮𝘸𝘢𝘯𝘢𝘤𝘩𝘢𝘮𝘢 𝘮𝘧𝘯
~𝘏𝘪𝘴𝘢 𝘢𝘭𝘪𝘻𝘰𝘯𝘶𝘯𝘶𝘢
~𝘛𝘩𝘢𝘮𝘢𝘯𝘪 𝘻𝘢 𝘏𝘪𝘴𝘢 𝘢𝘭𝘪𝘻𝘰𝘯𝘶𝘯𝘶𝘢
~𝘒𝘪𝘪𝘯𝘨𝘪𝘭𝘪𝘰
~𝘈𝘥𝘢 𝘻𝘢 𝘮𝘪𝘦𝘻𝘪
~𝘕𝘢𝘧𝘢𝘴𝘪 𝘢𝘭𝘪𝘺𝘰𝘯𝘢𝘺𝘰 𝘬𝘢𝘵𝘪𝘬𝘢 𝘜𝘸𝘦𝘬𝘦𝘻𝘢𝘫𝘪 𝘬𝘶𝘭𝘪𝘯𝘨𝘢𝘯𝘢 𝘯𝘢 𝘸𝘦𝘯𝘨𝘪𝘯𝘦.
_*8.𝘔𝘐𝘊𝘏𝘈𝘕𝘎𝘖*_
👆🏾𝘚𝘦𝘩𝘦𝘮𝘶 𝘩𝘪𝘪 𝘩𝘶𝘤𝘩𝘰𝘵𝘢 𝘵𝘢𝘢𝘳𝘪𝘧𝘢 𝘬𝘶𝘵𝘰𝘬𝘢 𝘋𝘢𝘵𝘢𝘴𝘩𝘦𝘦𝘵 𝘒𝘜𝘜 𝘯𝘢 𝘬𝘶𝘰𝘯𝘦𝘴𝘩𝘢 𝘔𝘪𝘤𝘩𝘢𝘯𝘨𝘰 𝘺𝘰𝘵𝘦 𝘢𝘭𝘪𝘺𝘰𝘤𝘩𝘢𝘯𝘨𝘢 𝘮𝘸𝘢𝘯𝘢𝘤𝘩𝘢𝘮𝘢 𝘬𝘢𝘵𝘬 𝘔𝘧𝘶𝘬𝘰 𝘸𝘢 𝘬𝘪𝘬𝘶𝘯𝘥𝘪. 𝘔𝘧𝘯.
~𝘑𝘶𝘮𝘭𝘢 𝘺𝘢 𝘵𝘩𝘢𝘮𝘢𝘯𝘪 𝘻𝘢 𝘏𝘪𝘴𝘢 𝘢𝘭𝘪𝘻𝘰𝘯𝘶𝘯𝘶𝘢
~𝘑𝘶𝘮𝘭𝘢 𝘺𝘢 𝘍𝘦𝘥𝘩𝘢 /𝘬𝘪𝘪𝘯𝘨𝘪𝘭𝘪𝘰
~𝘑𝘶𝘮𝘭𝘢 𝘺𝘢 𝘍𝘦𝘥𝘩𝘢 𝘻𝘢 𝘈𝘥𝘢 𝘻𝘢 𝘮𝘪𝘦𝘻𝘪 𝘢𝘭𝘪𝘻𝘰𝘤𝘩𝘢𝘯𝘨𝘢
_*9.𝘎𝘈𝘞𝘐𝘖*_
👆🏾𝘚𝘦𝘩𝘦𝘮𝘶 𝘩𝘪𝘪 𝘩𝘶𝘤𝘩𝘰𝘵𝘢 𝘵𝘢𝘢𝘳𝘪𝘧𝘢 𝘬𝘶𝘵𝘰𝘬𝘢 𝘋𝘢𝘵𝘢𝘴𝘩𝘦𝘦𝘵 𝘒𝘜𝘜 𝘯𝘢 𝘒𝘶𝘤𝘩𝘢𝘬𝘢𝘵𝘢 𝘮𝘢𝘩𝘦𝘴𝘢𝘣𝘶 𝘯𝘢 𝘬𝘶𝘰𝘯𝘦𝘴𝘩𝘢 𝘎𝘢𝘸𝘪𝘰 𝘭𝘢 𝘬𝘪𝘭𝘢 𝘮𝘸𝘢𝘯𝘢𝘤𝘩𝘢𝘮𝘢 𝘢𝘯𝘢𝘭𝘰𝘴𝘵𝘢𝘩𝘪𝘭𝘪 𝘬𝘶𝘱𝘦𝘸𝘢 𝘪𝘬𝘪𝘸𝘢 𝘯𝘪 𝘫𝘶𝘮𝘭𝘢 𝘺𝘢 𝘍𝘌𝘋𝘏𝘈 𝘻𝘰𝘵𝘦 𝘢𝘭𝘪𝘻𝘰𝘤𝘩𝘢𝘯𝘨𝘢 𝘬𝘵𝘬 𝘮𝘧𝘶𝘬𝘰 + 𝘍𝘢𝘪𝘥𝘢 𝘪𝘭𝘪𝘺𝘰𝘱𝘢𝘵𝘪𝘬𝘢𝘯𝘢.
𝑯𝑰𝒁𝑶 𝑵𝑫𝑶 𝑺𝑬𝑯𝑬𝑴𝑼 𝑲𝑼𝑼 𝑲𝑨𝑩𝑰𝑺𝑨 𝒁𝑰𝑻𝑨𝑲𝑨𝒁𝑶 𝑲𝑼𝑹𝑨𝑯𝑰𝑺𝑰𝑺𝑯𝑰𝑨 𝑼𝑪𝑯𝑨𝑲𝑨𝑻𝑨𝑱𝑰 𝑾𝑨 𝑻𝑨𝑨𝑹𝑰𝑭𝑨 𝑴𝑩𝑨𝑳𝑰𝑴𝑩𝑨𝑳𝑰 𝑲𝑨𝑴𝑨 𝑵𝑰𝑳𝑰𝑽𝒀𝑶𝑲𝑼𝑬𝑳𝑬𝒁𝑬𝑵𝑰.
*𝙷𝙰𝙺𝙸𝙺𝙰 𝚄𝚃𝙰𝚂𝙷𝙰𝙽𝙶𝙰𝚉𝚆𝙰 𝙽𝙰 𝚄𝚆𝙴𝚉𝙾 𝙸𝙻𝙸𝚈𝙾𝙽𝙰𝚈𝙾 𝚃𝙴𝙼𝙿𝙻𝙰𝚃𝙴 𝙷𝙸𝚈𝙾. 𝙽𝚊 𝚖𝚞𝚘𝚗𝚎𝚔𝚊𝚗𝚘 𝚠𝚎𝚗𝚢𝚎 𝚔𝚞𝚟𝚞𝚝𝚒𝚊 𝚔𝚊𝚋𝚒𝚜𝚊𝚊𝚊😁*
*ṈḆ* .̱ _H̱u̱w̱e̱ẕi̱ ḇa̱ḏi̱ḻi̱s̱ẖa̱ c̱ẖo̱c̱ẖo̱ṯe̱ ḵa̱ṯḵa ṯe̱m̱p̱ḻa̱ṯe̱ ẖi̱y̱o̱,̱ w̱e̱w̱e̱ ṉi̱ḵu̱j̱a̱ẕa̱ ṯa̱a̱ṟi̱f̱a̱ m̱a̱ẖa̱ḻi̱_ _p̱a̱ṉa̱p̱o̱ḵu̱ṯa̱ḵa̱_ _ḴU̱J̱A̱ẔA̱ ṯu̱_ .̱
*̱S̱ẖu̱ḵṟa̱ṉi̱ ḵw̱a ṯi̱m̱u̱ y̱e̱ṯu̱ i̱ḻi̱y̱o̱f̱a̱ṉi̱ḵi̱s̱ẖa̱ u̱p̱a̱ṯi̱ḵa̱ṉa̱j̱i̱ w̱a̱ S̱o̱f̱ṯw̱a̱ṟe̱ ẖi̱i̱*
̱👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
[5/27, 13:44] Jmasala: *Ndugu wateja wetu*
Tumeoma ni vyema kuwaletea maonesho ya video jinsi mfumo wetu “VICOBA TEMPLATE ” Unavyofanya kazi.
Tumeoba ni kheli ukaziangalia Kupitia YouTube channel yetu na si kukutumia hapa MOJAKWAMOJA kwa maana zona MB kubwa sana wengi wasingelimudu kuzidownload lakini kwa kuziangalia tu YouTube UTATUMIA bando lako kidogo tofauti na kuzidownload hapa.
Karibuni tubadilishe MIFUMO ya zamani ya kunakili mahesabu kwa KUTUMIA mtu. Acha mfumo ufanye kila kitu na kwa ufasaha kabisa bila kuchoka kama alivyo mwanadamu.
𝙏𝙀𝙈𝘽𝙀𝙇𝙀𝘼 𝙇𝙄𝙉𝙆 𝙕𝙄𝙁𝙐𝘼𝙏𝘼𝙕𝙊 𝙄𝙇𝙄 𝙆𝙐𝙊𝙉𝘼 𝙇𝙄𝙑𝙀 𝙅𝙄𝙉𝙎𝙄 𝙈𝙁𝙐𝙈𝙊 𝙒𝙀𝙏𝙐 “𝙑𝙄𝘾𝙊𝘽𝘼 𝙏𝙀𝙈𝙋𝙇𝘼𝙏𝙀 ” 𝙐𝙉𝘼𝙑𝙔𝙊 𝙁𝘼𝙉𝙔𝘼 𝙆𝘼𝙕𝙄
1. 𝘿𝙖𝙨𝙝𝙗𝙤𝙖𝙧𝙙 𝙥𝙖𝙧𝙩 1 ;𝘼
https://j.mp/2Zopldd
2. 𝘿𝙖𝙨𝙝𝙗𝙤𝙖𝙧𝙙 𝙥𝙖𝙧𝙩 1;𝘽
https://j.mp/2Tt57LM
3. 𝙆𝙪𝙞𝙣𝙜𝙞𝙯𝙖 𝘿𝙖𝙩𝙖 𝙠𝙖𝙩𝙞𝙠𝙖 𝙢𝙛𝙪𝙢𝙤 𝙥𝙖𝙧𝙩 2;𝘼
https://j.mp/2TvIaaS
4. 𝙆𝙪𝙞𝙣𝙜𝙞𝙯𝙖 𝙩𝙖𝙨𝙧𝙞𝙛𝙖 𝙯𝙖 𝙢𝙞𝙠𝙤𝙥𝙤 𝙠𝙖𝙩𝙞𝙠𝙖 𝙢𝙛𝙪𝙢𝙤
https://j.mp/2LNBoc3
5. 𝙆𝙪𝙛𝙪𝙩𝙖 𝙙𝙚𝙣𝙞 𝙡𝙖 𝙢𝙠𝙤𝙥𝙤 𝙠𝙖𝙢𝙖 𝙈𝙬𝙖𝙣𝙖𝙘𝙝𝙖𝙢𝙖 𝙖𝙢𝙚𝙢𝙖𝙡𝙞𝙯𝙖 𝙠𝙪𝙡𝙞𝙥𝙖 𝙙𝙚𝙣𝙞 𝙡𝙖𝙠𝙚 𝙡𝙤𝙩𝙚.
https://j.mp/2Zp0V3m
6. 𝙆𝙪𝙞𝙣𝙜𝙞𝙯𝙖 𝙈𝙖𝙩𝙪𝙢𝙞𝙯𝙞 𝙮𝙖 𝙙𝙝𝙖𝙧𝙪𝙡𝙖 𝙠𝙩𝙠 𝙢𝙛𝙪𝙢𝙤
https://j.mp/2WPeuYg
*𝑀𝐴𝐻𝐼𝑇𝐴𝐽𝐼 𝑊𝐴𝐾𝐴𝑇𝐼 𝑈𝑁𝐴𝑃𝑂𝑊𝐴𝑆𝐼𝐿𝐼𝐴𝑁𝐴 𝑁𝐴SI 𝐼𝐿𝐼 𝐾𝑈𝑈𝑁𝑈𝑁𝑈𝐴 𝑀𝐹𝑈M𝑂 𝑊𝐸𝑇𝑈 𝑁𝐼:-*
𝑎) 𝐽𝑖𝑛𝑎 𝑙𝑎 𝑘𝑖𝑘𝑢𝑛𝑑𝑖 𝑐h𝑒𝑛𝑢
𝑏) 𝑉𝑖𝑜𝑛𝑔𝑜𝑧𝑖 𝑤𝑎𝑡𝑎𝑡𝑢 (3) 𝑤𝑎 𝑘𝑖𝑘𝑢𝑛𝑑𝑖 𝑐h𝑒𝑛𝑢 (𝑀𝑤𝑒𝑛𝑦𝑒𝑘𝑖𝑡𝑖, 𝐾𝑎𝑡𝑖𝑏𝑢 𝑛𝑎 𝑀h𝑎𝑠𝑖𝑏𝑢/𝑀𝑡𝑢𝑛𝑧𝑎 𝐻𝑎𝑧𝑖𝑛𝑎)
𝑐) 𝑁𝑎𝑚𝑏𝑎 𝑦𝑎𝑘𝑜 𝑦𝑎 𝑠𝑖𝑚𝑢 𝑤𝑒𝑤𝑒 𝑢𝑛𝑎𝑦𝑒𝑤𝑎𝑘𝑖𝑙𝑖𝑠h𝑎 𝑘𝑖𝑘𝑢𝑛𝑑𝑖 𝑐h𝑒𝑛𝑢 𝑘𝑡𝑘 𝑘𝑢𝑛𝑢𝑛𝑢𝑎 𝑚𝑓𝑢𝑚𝑜 𝑤𝑒𝑡𝑢.(𝑗𝑖𝑛𝑎 𝑙𝑎𝑘𝑜 𝑛𝑎 𝑛𝑎𝑚𝑏𝑎 𝑦𝑎𝑘𝑜 𝑣𝑖𝑡𝑎𝑜𝑛𝑒𝑘𝑎𝑛𝑎 𝑑𝑎𝑖𝑚𝑎 𝑘𝑡𝑘 𝑑𝑎𝑠h𝑏𝑜𝑎𝑟𝑑 𝑦𝑎 𝑚𝑓𝑢𝑚𝑜 𝑤𝑒𝑛𝑢)
𝑁𝐵; 𝑁𝑗𝑜𝑜 𝑛𝑎 𝑇𝑍𝑆 *_30,000.00_* (𝑘𝑤𝑎 𝑠𝑎𝑠𝑎 𝑛𝑖 𝑂𝑓𝑎)
Lipia kupitia namba zetu
0763119871 M-pesa
0787922092 Airtel-money
_𝑢𝑘𝑖𝑠h𝑎𝑙𝑖𝑝𝑖𝑎 𝑚𝑓𝑢𝑚𝑜 𝑤𝑒𝑡𝑢 𝑢𝑡𝑎𝑡𝑢𝑚𝑖𝑤𝑎 𝑘𝑢𝑘𝑢𝑓𝑖𝑘𝑖𝑎 𝐾𝑎𝑡𝑖 𝑦𝑎 𝑛𝑗𝑖𝑎 h𝑖𝑧𝑖
👉🏼 *𝑊h𝑎𝑡𝑠𝐴𝑝𝑝*( https://j.mp/3bn2MIa)
👉🏼 *𝐸𝑚𝑎𝑖𝑙* *𝑎𝑑𝑑𝑟𝑒𝑠𝑠*
°𝑘𝑖𝑠h𝑎 𝑢𝑡𝑎𝑝𝑒𝑤𝑎 𝑝𝑎𝑠𝑠𝑤𝑜𝑟𝑑 𝑚𝑎𝑎𝑙𝑢𝑚𝑢 𝑘𝑤𝑎 𝑎𝑗𝑖𝑙𝑖 𝑦𝑎 𝐾𝑢𝑓𝑢𝑛𝑔𝑢𝑎 𝑚𝑓𝑢𝑚𝑜 𝑤𝑒𝑛𝑢 n𝑎 𝑘𝑢𝑎𝑛𝑧𝑎 𝑚𝑎t𝑢𝑚𝑖𝑧𝑖. (𝑃𝑎𝑠𝑠𝑤𝑜𝑟𝑑 𝑢𝑡𝑎𝑤𝑒𝑧𝑎 𝑘𝑢𝑖𝑏𝑎𝑑𝑖𝑙𝑖𝑠h𝑎 𝑚𝑢𝑑𝑎 𝑤𝑜𝑤𝑜𝑡𝑒 𝑢𝑡𝑎𝑘𝑎𝑜𝑝𝑒𝑛𝑑𝑎 𝑚𝑤𝑒𝑛𝑦𝑒𝑤𝑒)
Maoni 0:
Chapisha Maoni
Zingatia: Mwanachama wa blogu hii tu ndiye anayeweza kuchapisha maoni.
Jisajili kwenye Chapisha Maoni [Atom]
<< Nyumbani